Mtaule mgunda
Senior Member
- Jan 25, 2014
- 193
- 61
Hata me nimemsikia ila mbona kaongea vya muhmu mkuu.
Na wewe jifunze kusoma na kuelewa!!,
Nimesema sio utamaduni wetu, wapi nilipokanusha kuwa sio utamaduni wa kanisa katoliki?
Nilisema sio utamaduni wetu kwa sababu sio utamaduni wetu, na hata kama huyo Pengo ni mtanzania lakini majoho sio utamaduni wetu, Na hata hayo matambala uliyojifungasha kichwani ili uonekane macho tu sio utamaduni wetu, waachieni wazungu na waarabu.Sasa kwanini ulisema si utamaduni wako? nani alikwaandikia hayo? nimesema "google Pengo" uone kavaa nini? huyo Pengo si Mtanzania? usitake kubisha mambo yaliyo wazi.
hii sawa kabisa,Namjuwa mkristo anaitwa Abdallah, tena hata JF humu kuwa wako wanaomjuwa.
Wala majina yasikusumbuwe.
Sasa kwanini ulisema si utamaduni wako? nani alikwaandikia hayo? nimesema "google Pengo" uone kavaa nini? huyo Pengo si Mtanzania? usitake kubisha mambo yaliyo wazi.
Nashindwa kuweka comment yangu hapa,kwa vile tu,NAMCHUKIA mtoa mada kutoka moyoni japokuwa hata simfahamu!
amegeuka kuwa faza pekupeku wa MORO?
Kwani Pengo akivaa nguo ndio unakuwa utamaduni wetu?
Mi miziki yake,naisikia,ANAONGEA ONGEA tu,na si KUIMBA! Huo ndio UTAMADUNI WA MTANZANIA?
Huyu si ndo alitusaliti watanzania uko marekani na kujiita mkenya...hana tofauti na viongozi wetu wote ni wachumia tumbo tu..
Mkuu mashairi unayo sikia akiimba anaandikiwa!
Mkuu anaandikiwa na nani?.............................lakini yawezekana kabisa kwani kwa mashairi kama hayo halafu kujieleza sifuri naweza kukuamini!
Namuonaga havai viatu! Au ndiyo bangi zenyeweNatazama TBC sasa hivi, huyu aitwae Mrisho Mpoto anahojiwa, jamani sijawahi kuona mtu anaongea mambo ya kijinga kama huyu kwenye TV.
Hivi ni nani huyu Mrisho Mpoto? Yaani anasema vijana wote Tanzania wanarudi kwenye utamaduni "kwa sababu yangu mimi".
Hivi huyu anajuwa maana ya utamaduni au anajisemea tu? Tanzania hii, ujisifu kuwa eti ni "ni kwa sababu yangu tu" vijana wanarudi kwenye utamaduni?
Pumba nyingine kibao, kichefuchefu.
Ile ni imani yake inavyomtuma sio bangi mbona hata t.b joshua wa nigeria yuko hivyo nae utasema ni bangi?