Mrisho Mpoto, pumba tupu

Mrisho Mpoto, pumba tupu

anakipaji cha kughani mashairi tu mengine ni nyang'au kama manyang'au wengine wa taifa hili

Huyu bwana anakipaji cha kuimba ktk style ya kughani, hakuna na tungo hata moja alilotoa likawa Shairi kama unavyodai. Kuna siku moja TBC1 alikutana na wataalam wa Mashairi wakamuumbua sana kwamba tungo zake hazijakomaa kujiita mshairi, wakamwambia kama anataka wamtungie halafu aone tofauti. Huyu jamaa kwa ufupi ni kanjanja tu, kama unataka kumskia mtu akighani waone Fataki.
 
Una WIVU kwa Waislaam wenzio wewe....
Natazama TBC sasa hivi, huyu aitwae Mrisho Mpoto anahojiwa, jamani sijawahi kuona mtu anaongea mambo ya kijinga kama huyu kwenye TV.

Hivi ni nani huyu Mrisho Mpoto? Yaani anasema vijana wote Tanzania wanarudi kwenye utamaduni "kwa sababu yangu mimi".

Hivi huyu anajuwa maana ya utamaduni au anajisemea tu? Tanzania hii, ujisifu kuwa eti ni "ni kwa sababu yangu tu" vijana wanarudi kwenye utamaduni?

Pumba nyingine kibao, kichefuchefu.
 
Hivi Sindio huyo anayetaka kugombea ubunge mwakani pale kigambonii?
 
Mrisho Mpoto ni mlevi pia yawezekana alikuwa BWAX! Kuna siku sikuamini! alipoagiza Cocktail ya vinywaji vyote vikali Counter... yaani alichanganya gin/whisky/Rum/aperitf/Bacardi na ice kisha akanywa. duuuh na unywaji wangu nilibana-NGENGE!
 
Ni kweli ameongea. Amejitahidi sana kutrejesha utamaduni unaopotea hasa kwenye lugha na mavazi. Ninavyoangalia avatar yako naona na wewe u mkimbizi wa utamaduni hasa kwenye mavazi, umevaa UARABU wakati wewe ni Mtanzania

vazi la taifa likoje kweli?. nawewe unavaaje kweli
 
Nasema kwa mara ya mwisho: Vazi ka taifa kwa manufaa ya nani? Tunaacha kujadili kwanini viongozi wetu wanatuibia eti tunajikita kwenye kuvaa ngozi za wanyama kama yeye mwenyewe Mrisho Mpoto wakati siku hizi kuua wanyama ni kosa la jinai.
 
Faizafox = TBCCM = Mrisho Mpoto
Mrisho Mpoto si ndo alikuwa mmoja wapo wa wasanii waliopigia campain CCM?
Leo anapondwa tena???

Kama sielewi vile...........!!!
anyway asubuhi njema.
 
Natazama TBC sasa hivi, huyu aitwae Mrisho Mpoto anahojiwa, jamani sijawahi kuona mtu anaongea mambo ya kijinga kama huyu kwenye TV.

Hivi ni nani huyu Mrisho Mpoto? Yaani anasema vijana wote Tanzania wanarudi kwenye utamaduni "kwa sababu yangu mimi".

Hivi huyu anajuwa maana ya utamaduni au anajisemea tu? Tanzania hii, ujisifu kuwa eti ni "ni kwa sababu yangu tu" vijana wanarudi kwenye utamaduni?

Pumba nyingine kibao, kichefuchefu.

Mkuu leo umenifurahisha sana, kwa kuiita pumba ni pumba.
 
Huyu si ndo alitusaliti watanzania uko marekani na kujiita mkenya...hana tofauti na viongozi wetu wote ni wachumia tumbo tu..

yan aliniboa,akasema eti kiswahili asili yake ni kenya na kinazungumzwa kenya,kisa wakenya walimlipa kiposho kidogo.
 
Vipi kuhusu hawa hapa na utamaduni?
View attachment 144290


Sent from my iPad using JamiiForums

Huu ndo utamaduni sasa.

1394595896218.jpg
 
Anajisifu sana huyu kenge....kuna mtu niliwahi kumwambia huyu jamaa haishi uhalisia wake,yaani anataka kuish maisha fulani,mwishowe anaishia kuishi fake life....
Kuna siku nilipanda nae ndege ya kampuni ya As Salaam kwenda Zenji,anatembea peku na mashuka ya ajabu anafikiri ndio utamaduni...huyu ni mchumia tumbo kama wengine,wale wanaofuga rasta ili wapate vizee vya.kizungu...he is not cultural in deeds

amegeuka kuwa faza pekupeku wa MORO?
 
Ninapendezewa na mashairi katika tungo za nyimbo zake, lakini katika kujieleza ni sifuri kabisa huwezi oanisha uzito wa mashairi yake na pumba alizokuwa anazitema! By the way alisema hana nauli ili akamweleze mjomba masahibu yetu sie wapembezoni, tulipovuna mazao na kumkabidhi nauli na posho ya njiani hajarudi huku kutupa majibu kutoka kwa mjomba, zaidi twamuona kideoni tu.
Mkuu mashairi unayo sikia akiimba anaandikiwa!
 
Faizafox = TBCCM = Mrisho Mpoto
Mrisho Mpoto si ndo alikuwa mmoja wapo wa wasanii waliopigia campain CCM?
Leo anapondwa tena???

Kama sielewi vile...........!!!
anyway asubuhi njema.

acha uongo ppc wewe
 
wabongo bana.,, stickin ur nose into others biz.
Fanyeni yenu...
Scums.
We FF..mnafik,,kada mwenzako huyo.

Hakuwa kwenye TV akiongelea siasa au kuwepo pale kama mwakilishi wa CCM. Pale alikuwa akimwaga pumba zake binafsi.

Wacha uzushi.
 
Back
Top Bottom