jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Kama ana maradhi apumzike.Hawa viongozi wanaamini wamezaliwa ili waongoze maisha yao yote.Ndiyo shida tuliyonayo.Amejidhalilisha mwenyewe.Pamoja na hayo. Ni picha mbaya ambayo itamuandama mjwahuzi (mpiga picha) hadi atajisikia vibaya. Zaidi ya huyo dada aliyetapika. Mujwahuzi ni mwanahabari asiye na maadili ya kazi wala mipaka ya kiutendaji na maamuzi. Hata huyo mhariri wa gazeti naye ana kasoro. Mbona huu ni udhalilishaji? Kuna suala la umri, maradhi, majukumu, pamoja na kukabiliana na tusiyoyajua kesho. Sasa huyu mwandishi hayaoni haya. Familia yake inajisikiaje? Nasema tena, huu ni udhalilishaji na matumizi mabaya ya maamuzi