andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 491
Sasa hataki tuyaone madudu yao?Nasikia kuna mbunge wa CCM kalalamika eti huyo mwandishi wa habari anae toa picha za wabunge wanao sinzia bungeni anatafuta umaarufu
Sasa hataki tuyaone madudu yao?Nasikia kuna mbunge wa CCM kalalamika eti huyo mwandishi wa habari anae toa picha za wabunge wanao sinzia bungeni anatafuta umaarufu
Aliyeileta humu JF ndiye mbaya zaidi. Kwenye gazeti denda hili halionekani vizuri kwa kiwango hiki.
Ubunge kazi! Si mchezo.
Ooooooh,nilisikia kwenye magic fm,wakisema inachekesha,nikahisi ni zile za kurara,kumbe ...........loooooo
alijigamba kuwa bungen hawabebi vyuma wala zege........
Siyo vizuri kupiga picha kama hiyo, nakumbuka Pinda alikuwa sehemu fulani sitataja akala usingizi mzungu mmoja akapiga picha ikatoka chicha aliishia kudelete angemtoa angeona kilichomnyima kuku kwenda haja ndogo.
Kwa hii ya mrema siyo vizuri hata mimi mimi sijaipenda.
Mama Mrema naye ni wa kulaumiwa kidogo. Denda hili halipaswi kumwagika ovyo namna hii. Kama hayuko Dodoma aende haraka.Ukiangali kwa haraka haraka halionekani, hata mimi sikuliona mwanzo, baada ya kuwekwa hoja tu nikarudi kungalia, ndio nikaliona Vunjoooo hoyeeee
hutaki kujua mbunge wako anachofanya ulikomtuma!!??? ...au unataka "tumuonee huruma" kama tulivyofanya kwa mafisadi!?
Naona unaanza kuchanganyikiwa,ccm imewakaa kichwan mpaka wa tlp nae ccm,poorduh, sikuiona vizuri, mzee mzima kashusha udendanda!...... CCM C Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
sio tlphii picha inamwaibisha kweli lakini pia ameonekana kuwazalilisha CDM ambao kwa kiasi kikubwa wanawaongelea wananchi! Bora tumejua sasa kuwa naye sio 'strong' kama ianavyojidai! ....by the way amemuomba waziri mkuu afikirie mafao yake, ni busara PM akaconsider hilo ombi kutokana na hali anaoonyesha sasa