Mrema TLP na picha ya aibu

daaa, akiamka ndio atafute tissue ya kufuta udenda apewe posho yake akamalizie usingizi, tutafika kweli?
 
Mzee mrema ana matatizo ya afya ni diabetic...sio ajabu kama amesinzia hapo jamii forums huwa mnapinga kila kitu...sasa kuna aibu gani kwake kutoka mate? wewe hujawahi kutokwa mate pumbav zenu
Huwezi kulala kama ukiwa makini na kazi yako... kuwa diabetic sio tiketi ya kulala......mbona watu wengi wanajiuzulu kwa sababu za magonjwa? Nadhani nae angejiuzulu pia tupate mtu mwenye afya njema....
 
Bu7nge sio pahala pa kubeba zege na mizigo mizito, ni pahala panapohitaji tafakari ya kina..
 
270366_2034382311945_1615806745_1967168_2890452_n.jpg



Mzee wa SIKU SABA sasa kwisha habari yake! dah... jamani hizi njaa tusemenazo!!
 
Duh!Mungu atamsaidia tu na ipo siku hatasumbuliwa na udende,manake mataila ndo huwa wanasumbuliwa kwa sana na hil tatizo.
 
Inaelekea wabunge aliosalimiana nae jana wanajilaumu. Mana huezi jua alitumia mkono gani kufuta udenda huo. Huyu ndo alikua anatamani uenyekiti kambi ya upinzani? Amekwisha lyatonga wetu jamani. Pumzika baba
 
hadi kufikia hayo maisha bora kwa uwakilishi wa aina hii tusahau. wabunge kama hao ndio hao WABUNGE WA POSHO. alipochaguliwa tu , wazi bila kuficha akeseama anamshukuru MUNGU amemuona tena , kauli ile kwa watu makini inatolewa na watu waliokata tamaa na maisha na jambo kama hilo likitokea kwanza ujifikiria yeye binafsi, mtu aliyekwenda pale kuwakilisha jamii hawezi kulala.NILIPONGEZE SANA GAZETI LA MWANANCHI
 
Kwa kweli kumsaidia mzee huyu inabidi mara moja apelekwe Hospitali akafunguliwe jalada kwa vile hiyo hali si ya kufanyia mzaha bali ni mtu wa kupatiwa tiba
 
kule kwao vunjo wanamuita chief............nadhani anasubir kumrithisha mwingine nae awe mbunge
 
Kwa kweli hawa wazee wengine watakuja kufia bungeni - japo hatuwaombei hilo!
 
Hivi haka kazee kanafanya nini humo Bungeni?

Aibuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!

Hivi watoto na mamsapu wanajisikiaje? Baba udenda huooooooooooooo!!!!

Maskini hiyo suti imechafukaaa???

Bado Tyson na Komba nao mpaka wawalete hapa na ma-udenda yao!!

Big Up Mwananchi!! Picha ya mwaka hiyo!!
 
Crispin Meela JIANDAE KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO HUYU MZEE ANATUTIA AIBU SISI WAKAZI WA VUNJO

Huyo Meela si ndo alibwagwa na mzee wa Kiraracha?

Nawe huna jipya!! Jembe letu ni Mrema wa CDM. Jimbo liko kweupeeeee!!!
 
ingekuwa hiyo picha imepigwa huku kwetu uswazi, watu wangesema kuwa mzee anaburudika na kitu kinacholimwa iran pakstan au colombia .
 
Back
Top Bottom