Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
huyu mzee ndio mwenyekiti wa kila idara ndani ya chama
Pamoja na hayo. Ni picha mbaya ambayo itamuandama mjwahuzi (mpiga picha) hadi atajisikia vibaya. Zaidi ya huyo dada aliyetapika. Mujwahuzi ni mwanahabari asiye na maadili ya kazi wala mipaka ya kiutendaji na maamuzi. Hata huyo mhariri wa gazeti naye ana kasoro. Mbona huu ni udhalilishaji? Kuna suala la umri, maradhi, majukumu, pamoja na kukabiliana na tusiyoyajua kesho. Sasa huyu mwandishi hayaoni haya. Familia yake inajisikiaje? Nasema tena, huu ni udhalilishaji na matumizi mabaya ya maamuzi
NAunga mkono hoja wapigwe picha ili mimi kama mwananchi niliyempigia kura yangu nijue anafanya nini anapokuwa bungeni. Kama ni kulala akalale nyumbani lakini sio pale nilipomtuma kuniwakilisha. OLE WAKO MBUNGE WANGU MNYIKA UTOLEWE gazetini umesinzia?? sijui utatuambia nini wananchi wako ukizingiatia gazeti hili linazalishwa jimboni kwako.
Naona unaanza kuchanganyikiwa,ccm imewakaa kichwan mpaka wa tlp nae ccm,poor
Akikurupuka tu, anaanza kuongea hovyo akijuwa bado yeye ni ccm anaponda upinzani. hii ndiyo aina ya watu wanaotuwakilisha huko mjengoni hao.
Mkuu hapo umenena... viongozi wetu sasa inawabidi waanze kuangalia lishe zao
Picha ya huyu mbunge katika gazeti la mwananchi leo imemtapisha dada mmoja ofisini kwetu.
Siyo vizuri kupiga picha kama hiyo, nakumbuka Pinda alikuwa sehemu fulani sitataja akala usingizi mzungu mmoja akapiga picha ikatoka chicha aliishia kudelete angemtoa angeona kilichomnyima kuku kwenda haja ndogo.
Kwa hii ya mrema siyo vizuri hata mimi mimi sijaipenda.
She must be pregnant!Picha ya huyu mbunge katika gazeti la mwananchi leo imemtapisha dada mmoja ofisini kwetu.
![]()
Mrema , kielelezo cha Bunge la watu wasio makini
![]()
mkuu komba na wasira walijiteteaje?Alianza John Komba,akafuata Wasira sasa Mrema..............Komba alijibu,Wasira alijibu..haya sema na wewe mrema.............
Wabunge pale wapo kazini kufanya Kazi waliyotumwa na Wananchi na wanalipwa Mamilioni kutokana na Kodi zetu kuingia tu Mjengoni Posho elfu sabini nashindwa kuelewa Akili yako unaposema kwamba wanazalilishwa kwani walitumwa kwenda kulala humo!!Wabunge kama kina Zitto wanaopiga kazi usiku na Mchana wanasema Posho hizo ni dhuluma huyu Mpiga Bönji anawadhihaki kwamba Posho mlizikuta na Mtaziacha afu we unatetea huu Utumbo.Kama utapata gazeti la Mwananchi tarehe 30/06/2011 ukurasa wa mbele kabisa basi utakutana na picha ya muheshimiwa Augustino Lyatonga Mrema mbunge wa jimbo la Vunjo akiwa amelala na udenda ukiwa unamtoka kwenye kikao cha bajeti bungeni. Kweli kwa mtazamo wangu mimi binafsi siungi hoja ya wapiga picha kutoa picha kama hii hata kama ni uhuru wa viombo vya habari huku ni kumzalilisha mtu, gazeti la Mwananchi tena wanasema gazeti la watu makini huku sasa ni kuvuka mipaka naomba wanaJF wenzangu mimi sio mwanachama wa TLP naona ifikie wakati pale bungeni wapiga picha wawe wanapewa mipaka ya kupiga picha. Nawasilisha lakini siungi hoja picha kama hizi au tulifananishe gazeti na magazeti ya udaku?