Sokwe Mjanja
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 576
- 297
Mzee hii imesimama hasa!it goes like this: everyone helps a girl removing her cloths during or before sex but nobody helps her in putting her cloths back after sex. 'once you are ****ed up nobody helps you'
All in all nadhani pamoja na maoni tofauti yaliyotolewa katika thread hii bado tukubali kuwa wasanii wengi wa kibongo huwa wanajisahau sana na kudhani yale maisha ya kusifiwa na kukimbiliwa na wadada (sio wadada wote) huwa yatabaki milele! Hawana kabisa mipango endelevu baada ya muziki, na hii ni kwa wote tu hata wacheza filamu na wacheza soka. Kuna haja waamke na kuangalia mbele pia.
Pole Mr Nice, amka panguza makalio angalia namna ya kutoka tena, ulikuwa na jina kubwa sana tena hadi nje ya nchi haipendezi kama hii stori ni ya kweli.