Mr P amkana pacha wake

Mr P amkana pacha wake

Miss Halima

Senior Member
Joined
Aug 4, 2026
Posts
124
Reaction score
296
Staa wa muziki aliyekuwa akiliunda kundi la P-Square, Mr P, ameibua mjadala mpya kuhusu ufanano wake na pacha wake, Rudeboy, baada ya kutoa kauli iliyowashangaza mashabiki.

Mr P amesema anaamini kuwa anafananana zaidi na msanii wa Marekani, Usher, kuliko anavyofanana na Rudeboy

Kauli hiyo imekuwa ya kushangaza kutokana na ukweli kwamba Mr P na Rudeboy wamekuwa wakitambulika kwa muda mrefu kutokana na ufanano wao mkubwa kama mapacha.



1787205542868.png
 
Staa wa muziki aliyekuwa akiliunda kundi la P-Square, Mr P, ameibua mjadala mpya kuhusu ufanano wake na pacha wake, Rudeboy, baada ya kutoa kauli iliyowashangaza mashabiki.

Mr P amesema anaamini kuwa anafananana zaidi na msanii wa Marekani, Usher, kuliko anavyofanana na Rudeboy

Kauli hiyo imekuwa ya kushangaza kutokana na ukweli kwamba Mr P na Rudeboy wamekuwa wakitambulika kwa muda mrefu kutokana na ufanano wao mkubwa kama mapacha.

View attachment 3653540

View attachment 3653541
Wanigeria ni watumwa wa hela, wako tayari kufanya lolote ili wapate pesa
 
Staa wa muziki aliyekuwa akiliunda kundi la P-Square, Mr P, ameibua mjadala mpya kuhusu ufanano wake na pacha wake, Rudeboy, baada ya kutoa kauli iliyowashangaza mashabiki.

Mr P amesema anaamini kuwa anafananana zaidi na msanii wa Marekani, Usher, kuliko anavyofanana na Rudeboy

Kauli hiyo imekuwa ya kushangaza kutokana na ukweli kwamba Mr P na Rudeboy wamekuwa wakitambulika kwa muda mrefu kutokana na ufanano wao mkubwa kama mapacha.

View attachment 3653540

View attachment 3653541
Anatafuta sifa za kijinga
 
Staa wa muziki aliyekuwa akiliunda kundi la P-Square, Mr P, ameibua mjadala mpya kuhusu ufanano wake na pacha wake, Rudeboy, baada ya kutoa kauli iliyowashangaza mashabiki.

Mr P amesema anaamini kuwa anafananana zaidi na msanii wa Marekani, Usher, kuliko anavyofanana na Rudeboy

Kauli hiyo imekuwa ya kushangaza kutokana na ukweli kwamba Mr P na Rudeboy wamekuwa wakitambulika kwa muda mrefu kutokana na ufanano wao mkubwa kama mapacha.

View attachment 3653540

View attachment 3653541
Ungetusaidia na sisi wa mkoa, hapo kwenye picha MR p ndo yupi na Rudeboy ni yupi
 
Hao nao wasituchoshe.....kama mama yao angejua kitakachotokea bora angezaa mmoja na sio mapacha...
 
Back
Top Bottom