Yu wapi Waziri mchapakazi bwana Makonda?

Yu wapi Waziri mchapakazi bwana Makonda?

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
724
Reaction score
2,664
Ni kipindi kirefu sasa, ndugu yetu bwana Makonda hajatokea/ kuonekana isivyo kawaida!

Makonda ambaye pia ni Waziri anayesimamia Michezo na Habari, imezoeleka ni Kiongozi apendaye aonwe mara kwa mara kwa matukio yasiyo punguka, ni ajabu sasa ni karibu ya Mwezi hajafanya hivyo.

Si Kizimkazi, ukaguzi wa Viwanja vya Afcon ima vinginevyo Mtanzania mwenzetu-hatujamshuhudia isivyo kawaida!

Yu wapi jembe la Mama Kizz?!
 
Baada ya kuonyesha ujinga wake wa kumtamgaza na Jezi ya Sa100 kule France,jina lake likatajwa pale mlimani city watu wakazomea,katuliza matako yake makubwa akitafakari kuja na kiki nyingine.
 
Ni kipindi kirefu sasa, ndugu yetu bwana Makonda hajatokea/ kuonekana isivyo kawaida!

Makonda ambaye pia ni Waziri anayesimamia Michezo na Habari, imezoeleka ni Kiongozi apendaye aonwe mara kwa mara kwa matukio yasiyo punguka, ni ajabu sasa ni karibu ya Mwezi hajafanya hivyo.

Si Kizimkazi, ukaguzi wa Viwanja vya Afcon ima vinginevyo Mtanzania mwenzetu-hatujamshuhudia isivyo kawaida!

Yu wapi jembe la Mama Kizz?!
waziri Mwizi wa vyeti
 
Back
Top Bottom