The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
jamaa sio mida hii juzi kati tulikuwa naye chobingo moja mchizi anatia huruma
DJ BABU, Ulikuwa nae wapi? Ni Msasani Club siku walipokuwa wanatumbiza AKUDO SOUND "WAZEE WA MASAUTI" Nakumbuka nilimwona Pale lakini alionekana kuwa Normal au Mzee ndio ulikuwa unamtoa kwa ULABU pale????