nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
nimekuwa mteja wa kudumu wa CRDB kwa kipindi cha mwaka wa Tano sasa, tangu nimerejea nyumbani Tanzania karibu miezi 3 sasa kuna kazi nafanya ambayo malipo yake ni kwa hundi, sasa kila ninapoenda kujiwekea akiba kwenye akaunti yangu pale CRDB TAWI LA Holland hakika huwa nakwazika kutokana na majibu ya kejeli, masimango na dharau za huyo binti bahati mbaya sijajua jina lake.
wajihi wake ni Dada Mweupe, anavaa hereni ndefu~ndefu, ana cheni za dhahabu shingoni na mikononi.
wakati najiandaa kuhamia Azikiwe Branch kwa huduma zangu utawala lazima ujue swala hili kinaga ubaga.
wajihi wake ni Dada Mweupe, anavaa hereni ndefu~ndefu, ana cheni za dhahabu shingoni na mikononi.
wakati najiandaa kuhamia Azikiwe Branch kwa huduma zangu utawala lazima ujue swala hili kinaga ubaga.