Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,627
- 4,345
Kwahiyo kazi anazofanya mungu na shetani kumbe anaweza kuzifanyaVifo vipo vya aina mbili kwa mpango wa Mungu na kwa mpango wa shetan
Kwahiyo kazi anazofanya mungu na shetani kumbe anaweza kuzifanyaVifo vipo vya aina mbili kwa mpango wa Mungu na kwa mpango wa shetan
Shetani anacopy toka kwa Mungu sababu alikuwepo kwa Mungu anazijua siri nyingi.Kwahiyo kazi anazofanya mungu na shetani kumbe anaweza kuzifanya
😂😂😂😂😂😂 sa si amuueShetani anacopy toka kwa Mungu sababu alikuwepo kwa Mungu anazijua siri nyingi.
Mbona humwombi maisha yako yakawa mazuri zaidi?Nitakuwa tofauti kidogo na viumbe wengine. Kwangu naona kama huyu shetani ndio mkombozi, kwa fact hizi
Ndio hivyooo
- Pale bustani ya edeni Mungu alimficha Adamu na Hawa jambo. Huyu bwana shetani alifanya kila njia akatutobolea siri
- Unaweza muomba Mungu kitu akachelewa sana kukupa ila ukienda kwa huyu bwana fast tu unapokea
Kaachiwa muda wa kutubu ukipita anauliwa😂😂😂😂😂😂 sa si amuue
Wewe si kakupatia akili ya kujua jema na baya ndiyomaana huwezi kujilengesha kwenye gari barabarani wakati wa kuvuka ukagongwa na ukafa?kwanza sina shibe nina maisha magumu hatari uliona wapi tajiri anamtusi Mungu adharan ni mm mr pipa na akili yangu timamu
Kama Mungu anakuacha ukazini na wake au waume za watu wakati anauwezo wa kustopisha liboroo lisifanye kazi na ukaokoka kwenye dhambi
Niseme tu tusipangiane
Shetani gani unamzungumzia?🤔Nitakuwa tofauti kidogo na viumbe wengine. Kwangu naona kama huyu shetani ndio mkombozi, kwa fact hizi
Ndio hivyooo
- Pale bustani ya edeni Mungu alimficha Adamu na Hawa jambo. Huyu bwana shetani alifanya kila njia akatutobolea siri
- Unaweza muomba Mungu kitu akachelewa sana kukupa ila ukienda kwa huyu bwana fast tu unapokea
Shetwani ni mtu au malaika iliyeasi mbinguni?nampigiaje debe mtu nisiewahi muona,
Mungu atajibu kwasababu ndio mwenye hati miliki ya mwili huu huweza sema robot inamaamuz kwa aliemtengeneza sababu mtengenezaji anajua robot yake ipo vipi
Mbona hujauliza wanaofia tumboni kwa akina Mama pia kabla ya kujifungua, nao wamemkosea nini shetwani?Kwahiyo wale watoto wanaokufa baada ya kuzaliwa huwa wamefanya nini na shetani?
Mbona unatoka nnje ya mada tena?kwa hiyo na Mungu alikubali michongo ya mwana vipi pale alipomruhusu Ibrahim amchinje mtoto wake damu ingeenda wp? Utasema alikuwa akimpima vipi kuhusu anapotuambia tukimuangalia mwanamke tumezin ikiwa hatuja fanya ni halali au tunampima
Imeandikwa "usimjaribu BWANA Mungu wako"kazi unayo Mungu ni muweza wa yote sasa mbona unamtetea sana mwambie japo apige shot simu yangu hapa maana una Mungu ndani yako toka hao baadae unaenda tomba binti za watu
Km kuna ukweli hivi.Siku zote mtu anaekua na mawazo/mtizamo tofauti na mtawala hua anaonekana mbaya na propaganda nyingi hutumika kumchafua.
Mbona unachofanya ni utoto sana [emoji38] wenzako akina Sauli waliua sana Wacha Mungu lakini hatimaye muda ulifika na aliungama dhambi zake kukiri kuwa YESU NI BWANA [emoji16]kama ni hivyo Mungu hana msimamo kwa anachofanya ni kama demu malaya tu sitak nataka yupo kuzimu alafu maovu yanaendelea bado anamlaumu
Kufanywa mbaraka na njia ya uzima wa milele kwa wataomwamini kuwa Yesu ni BWANA na Mwokozi wa walimwengu wote.Ibrahim alipimwa imani yake ndo maana akapewa baraka akafanywa baba wa mataifa,Mungu angetaka damu asingeuzuia mkono wa Ibrahim Ili ushuke kwenye shingo ya mwanae.Ni kipimo cha imani.Ni SAwa na watoa kafara amtoae mzazi wake, mtoto wake kwa shetani Ili apate mali, madaraka,vyeo the same.Zamani watu walichinja wanyama kama sadaka,sisi Wakristo atuchinji sababu tayari Yesu Kristo alitufia na kufanywa laana Ili kuzibeba dhambi zetu,so kupitia kwake tunaokolewa hatuhitaji kutoa damu tayari ilishamwagika msalabani golgotha.
Kumwangalia mwanamke kwa tamaa tayari umezini sababu ya ile dhamira, dhamira ni nia na nia ya kutenda tu tayari ni dhambi
Muda wake upo wa kuuwawa, lakini kabla ya yote Mungu aliona si vyema akimuua shetwani papo kwa papo, ili asionekane ni Mkatili, basi alimpatia muda wa kukiri kosa ili amrehemu lakini alishupaza shingo ndipo alimtupa duniani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sa si amuue
Naiusia nafsi yangu pamoja nakuiisia nafsi yako kuchagua upande wa HUYO aliyemfukuza shetani kwa kua kama ana nguvu kubwa kiasi cha kumfurumusha huyo shetani ambaye unamwita kashindikana, mimi na wewe atatufanyanya nini kama tutakaidi utaratibu wake?Sasa kama Shetan Mungu alimshindwa huko Mbinguni akaamua kumfurusha huku Dunian ndo utamuweza wewe? Acha kushindana na vitu vya ajabu banah
Sent using Jamii Forums mobile app