Mpaka sasa sijaona ubaya wa shetani

Mpaka sasa sijaona ubaya wa shetani

Endelea kumpigia debe shetani ambaye hajui chochote kuhusu wewe anatumia Hila kukuhadaa tuuu
kwamba shetani yupo ndani ya mwili wangu ananitumikisha niongee anachotaka? Basi kama ni hivyo na Mungu ana kesi ya kujibu kwanini amruhusu aingie nitakataa sio mm nilikuwa nikipost bali ni mtu anaetumia mwili wangu,
 
Mungu anakuona,siku zako za kuishi duniani ni chache sana,lkn siku za kwenda kuishi na muumba wako ni nyingi zisizo na hesabu,sasa ni juu yako kumpigia debe shetani alafu ulaaniwe milele au utubu na kufanyika mwana wa Mungu uishi kwa raha milele yote.Uamuzi ni wako.Shibe isitupe kiburi hata kuwa chukizo kwa Mungu,hivi ungekuwa umepalalaizi kitandani ungepata wapi nguvu za kuandika huu utumbo mavi wako??.
kwanza sina shibe nina maisha magumu hatari uliona wapi tajiri anamtusi Mungu adharan ni mm mr pipa na akili yangu timamu
Kama Mungu anakuacha ukazini na wake au waume za watu wakati anauwezo wa kustopisha liboroo lisifanye kazi na ukaokoka kwenye dhambi
Niseme tu tusipangiane
 
Nitakuwa tofauti kidogo na viumbe wengine

Kwangu naona kama huyu shetani ndio mkombozi,
Kwa fact hizi

Pale bustani ya edeni Mungu alimficha adamu na hawa jambo
Huyu bwana shetani alifanya kila njia akatutobolea siri

Unaweza muomba mungu kitu akachelewa sana kukupa ila ukienda kwa huyu bwana fast tu unapokea

Ndio hivyooo
Zaa mtoto umpe jina la shetani
 
je Mungu ana huruma ? Vuta picha vita ya Ukraine bom linawalipukia watoto wasio na hatia lakini Mungu uwezo wa kusolve anao mbona anafanya kana kwamba haoni ila ukiiba au ukizin dhambi huiona

Mungu aliamuru taifa la Israel likapige vita taifa mojawapo la enzi zile matokeo yake watu walikufa wengi je nahio ni huruma
Vita uletwa shetani lengo ni kuvuna damu za watu na kuzipeleka kuzimu.
 
Endelea kumpigia debe shetani ambaye hajui chochote kuhusu wewe anatumia Hila kukuhadaa tuuu
Shetani Huwa Yuko kimya, ila wafuasi wa Jehovah Kila siku mnamtukana sana. Ugomvi wake na Jehovah nyie unawahusu nini?
By the way shetani na Jehovah ni dhana tu.
 
Nitakuwa tofauti kidogo na viumbe wengine

Kwangu naona kama huyu shetani ndio mkombozi,
Kwa fact hizi

Pale bustani ya edeni Mungu alimficha adamu na hawa jambo
Huyu bwana shetani alifanya kila njia akatutobolea siri

Unaweza muomba mungu kitu akachelewa sana kukupa ila ukienda kwa huyu bwana fast tu unapokea

Ndio hivyooo
Zaa mtoto umpe jina la shetani ili tuwahakikishie watu kwamba hiki ni kiumbe kizuri,
 
kwanza sina shibe nina maisha magumu hatari uliona wapi tajiri anamtusi Mungu adharan ni mm mr pipa na akili yangu timamu
Kama Mungu anakuacha ukazini na wake au waume za watu wakati anauwezo wa kustopisha liboroo lisifanye kazi na ukaokoka kwenye dhambi
Niseme tu tusipangiane
Ha haaaa we mjaaa acha kunichekesha, nimeshacheka sana leo na hizi mada zenu
 
kwamba shetani yupo ndani ya mwili wangu ananitumikisha niongee anachotaka? Basi kama ni hivyo na Mungu ana kesi ya kujibu kwanini amruhusu aingie nitakataa sio mm nilikuwa nikipost bali ni mtu anaetumia mwili wangu,
Wewe ndio umeruhusu shetani akutumie, Mungu ajibu kesi gani sasa amekupa uhuru na wewe umechagua kuwa upande wa shetani ndo maana unampigia debe hapa
 
Shetani Huwa Yuko kimya, ila wafuasi wa Jehovah Kila siku mnamtukana sana. Ugomvi wake na Jehovah nyie unawahusu nini?
By the way shetani na Jehovah ni dhana tu.
Aliyekuambia shetani yuko kimya ni nani? Hayo uliyoyaandika sio yako ni ya shetani kakuongoza uandike halafu unasema yuko kimya?? itakuwa Bado haumjui shetani na ufalme wake na anavyofanya, uwe unauliza kabla ya kuandika au kusema jambo Ili uwe uhakika wa unayosema
 
Ni fasta kwa huyo mjamaa lakini hana huruma wala fadhila ni lzm akuue fasta pia, msaada wake hauendi bure.
Mungu uchelewa lakini ni hakika na hakuna majuto wala hasara
Mungu ndio kaumba kifo na akasema kila nafsi itaonja mauti sasa shetani anahusika vipi
 
Aliyekuambia shetani yuko kimya ni nani? Hayo uliyoyaandika sio yako ni ya shetani kakuongoza uandike halafu unasema yuko kimya?? itakuwa Bado haumjui shetani na ufalme wake na anavyofanya, uwe unauliza kabla ya kuandika au kusema jambo Ili uwe uhakika wa unayosema
Wewe ungekuwa mungu, umgemuacha shetani ajimwaye mwae na utawala wake?
 
Wewe ndio umeruhusu shetani akutumie, Mungu ajibu kesi gani sasa amekupa uhuru na wewe umechagua kuwa upande wa shetani ndo maana unampigia debe hapa
nampigiaje debe mtu nisiewahi muona,

Mungu atajibu kwasababu ndio mwenye hati miliki ya mwili huu huweza sema robot inamaamuz kwa aliemtengeneza sababu mtengenezaji anajua robot yake ipo vipi
 
Mungu ndio kaumba kifo na akasema kila nafsi itaonja mauti sasa shetani anahusika vipi
Kifo alichokiumba Mwenyezi Mungu ni cha uzee baada ya mwili kuchakaa,umri wa kuishi si zaidi ya miaka 70 hadi 80 zaidi ya hapo ni neema,huo ndio umri uliopangwa na Mungu.
Shetani ndie uwatumia watu mapepo ya hasira Ili wasifikie mwafaka wapigane wamwage damu.
Watoto wa shetani ndio upigana.Mungu ni upendo Hakuna vita,
 
Kifo alichokiumba Mwenyezi Mungu ni cha uzee baada ya mwili kuchakaa,umri wa kuishi si zaidi ya miaka 70 hadi 80 zaidi ya hapo ni neema,huo ndio umri uliopangwa na Mungu.
Shetani ndie uwatumia watu mapepo ya hasira Ili wasifikie mwafaka wapigane wamwage damu.
Watoto wa shetani ndio upigana.Mungu ni upendo Hakuna vita,
Kwahiyo wale watoto wanaokufa baada ya kuzaliwa huwa wamefanya nini na shetani?
 
Back
Top Bottom