Si unaona unaibia watu unasema shetani amekupa.shetani nishamwomba najibiwa nishataper mtu m30 ,
juzi nimempiga tena mzinga jamaa m8 so anajibu maombi vp ww Mungu kakupa nini huko?
Si unaona unaibia watu unasema shetani amekupa.shetani nishamwomba najibiwa nishataper mtu m30 ,
juzi nimempiga tena mzinga jamaa m8 so anajibu maombi vp ww Mungu kakupa nini huko?
Sawa, MUNGU anakuhesabia tu siku zakokwanza sina shibe nina maisha magumu hatari uliona wapi tajiri anamtusi Mungu adharan ni mm mr pipa na akili yangu timamu
Kama Mungu anakuacha ukazini na wake au waume za watu wakati anauwezo wa kustopisha liboroo lisifanye kazi na ukaokoka kwenye dhambi
Niseme tu tusipangiane
Umeona eenhh??!!!Mleta mada mbona kama ndie shetani mwenyewe?
Jamii forum mnasajili mpaka mashetani, wewe inabidi tukukabizi kwa shehe wa mkoa ule fimbo za kutosha nyang'au weNitakuwa tofauti kidogo na viumbe wengine.pia tofauti na KIRANGA na wenzake wasio amini uwepo wake mimi na amini yupoo ila utendaji wake wa kazi kidogo inanipa mshaka kama mashabiki wa vyama na mm Kwangu naona huyu shetani ndio mkombozi, kwa fact hizi
Ndio hivyooo
- Pale bustani ya edeni Mungu alimficha Adamu na Hawa ule utamu.Huyu bwana shetani alifanya kila njia akatutobolea siri leo kila mmoja wetu anainjoii kazi ya huyu mvumbuzi.pita guest zinavyojaa,angalia vijana,wazee nk wanavyopigania kupata hela ya kulia mbususu kwa kweli huyu jamaa shetani anastaili pongezi sana
- Unaweza muomba Mungu kitu akachelewa sana kukupa ila ukienda kwa huyu bwana fast tu unapokea angalia watu town walivyo madini,pesa nje nje lakini Mungu ukimuomba leo kukupa sahau bila kujisalimisha kwa shetani unakofa hata nyumbani huna, kwani uongo,mwamba anatupigania sana, wenyew mnajionea ni nani hapa hajawahi kwenda kule kwa mkombozi shetani kupitia mganga wa kienyeji
*Pia huyu jamaa anajali wanae na anajua kuhendo ukiona binti mtaam mrembo utasikia mwanangu fanya upunguze hizo mawe utakufa na nyege shauri yako,lakini mbabe Mungu utasikia ukimuangalia tu huyo manzi ushazini nae hapa ni moja kwa moja motoni, yaani hajali kama mwili aliokuwa amekupa sam taimu unastoku za nyege
Anachojua yeye ni kukuandikia dhambi usikute na mimi kuandika tu hapa tayari dhambi
Sasa nasema hivi Mungu we ni mbabe,katili,mchoyo,unawivu
Nimekuchoka sasa nipo huku kwa mtetea wanyonge , Mungu unakuwa kama wanasiasa nitakuletea maji mkinichagua,tutajenga barabara, na wewe ni hivyo mtaenda mbinguni,sa siungetupeleka moja kwa moja kwanini utulete huku duniani,
Shetani ww jembe unaupiga mwingi
Wakuu mkombozi ameniletea manzi ngoja nikaile ki rick boy nitakuja
Mbaya zaidi avatar yake kaweka picha ya papa fransis, hili jamaa ni shetaniWakala wa shetani...
Una pepo la uzinzi/uasherati maana bandiko lote limejaa mawazo hayo.Nitakuwa tofauti kidogo na viumbe wengine.pia tofauti na KIRANGA na wenzake wasio amini uwepo wake mimi na amini yupoo ila utendaji wake wa kazi kidogo inanipa mshaka kama mashabiki wa vyama na mm Kwangu naona huyu shetani ndio mkombozi, kwa fact hizi
Ndio hivyooo
- Pale bustani ya edeni Mungu alimficha Adamu na Hawa ule utamu.Huyu bwana shetani alifanya kila njia akatutobolea siri leo kila mmoja wetu anainjoii kazi ya huyu mvumbuzi.pita guest zinavyojaa,angalia vijana,wazee nk wanavyopigania kupata hela ya kulia mbususu kwa kweli huyu jamaa shetani anastaili pongezi sana
- Unaweza muomba Mungu kitu akachelewa sana kukupa ila ukienda kwa huyu bwana fast tu unapokea angalia watu town walivyo madini,pesa nje nje lakini Mungu ukimuomba leo kukupa sahau bila kujisalimisha kwa shetani unakofa hata nyumbani huna, kwani uongo,mwamba anatupigania sana, wenyew mnajionea ni nani hapa hajawahi kwenda kule kwa mkombozi shetani kupitia mganga wa kienyeji
*Pia huyu jamaa anajali wanae na anajua kuhendo ukiona binti mtaam mrembo utasikia mwanangu fanya upunguze hizo mawe utakufa na nyege shauri yako,lakini mbabe Mungu utasikia ukimuangalia tu huyo manzi ushazini nae hapa ni moja kwa moja motoni, yaani hajali kama mwili aliokuwa amekupa sam taimu unastoku za nyege
Anachojua yeye ni kukuandikia dhambi usikute na mimi kuandika tu hapa tayari dhambi
Sasa nasema hivi Mungu we ni mbabe,katili,mchoyo,unawivu
Nimekuchoka sasa nipo huku kwa mtetea wanyonge , Mungu unakuwa kama wanasiasa nitakuletea maji mkinichagua,tutajenga barabara, na wewe ni hivyo mtaenda mbinguni,sa siungetupeleka moja kwa moja kwanini utulete huku duniani,
Shetani ww jembe unaupiga mwingi
Wakuu mkombozi ameniletea manzi ngoja nikaile ki rick boy nitakuja
Sasa mbona atatuchoma?Mungu ameumba dunia amewapa wanadamu mamlaka waitawale.
Alipowapa wanadamu mamlaka aliwapa na uhuru , wakiamua kuuana, kupendana , kumuasi ni wao.
Mungu haingilii hata siku moja mambo ambayo amewapa wanadamu mamlaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakumuua shetani ili asionekane mkatili, ila shetani kusababisha sisi tutende dhambi na yeye Mungu aje atuhukumu kwa kutenda dhambi sio ukatili..
Sawa,acha kumdhihaki sasa!!,Muogope MUNGU.sema anatuhesabia mbona mi napumua kama wewe
Si ndio hapo Mkuu!!,Yaani kuna watu vichwa vyao vilishabunguliwa.Mbaya zaidi avatar yake kaweka picha ya papa fransis, hili jamaa ni shetani
AminaUna pepo la uzinzi/uasherati maana bandiko lote limejaa mawazo hayo.
Nakuombea rehema za Mungu, akusamehe na wala asihesabu uovu wako.
Nakuombea pia neema ya wokovu ili siku moja utubu na kumrudia Mungu kabla haijakuwa too late kwako.
Amani iwe nawe.
Ukiwemo na weweWew ulie uandika uzi huu hakika umelaaniwa mpaka kizazi chako cha tano na sita cha wote wakupendao
Na vilevile yoyote asomae na achangiae uzi huu yampate yatakae mpata yule alie andika uzi huu