Mpaka sasa sijaona ubaya wa shetani

Mpaka sasa sijaona ubaya wa shetani

Naona bwana shetani umeamua kujitokeza live.
Sasa unapambana na hawa wafia dini wa huku mtandaoni
nikiwa na msaidizi wangu
Mzee wa kale kabisa
,😈😈😈👹
 
Muda wake upo wa kuuwawa, lakini kabla ya yote Mungu aliona si vyema akimuua shetwani papo kwa papo, ili asionekane ni Mkatili, basi alimpatia muda wa kukiri kosa ili amrehemu lakini alishupaza shingo ndipo alimtupa duniani.
Kwa hiyo shetani yupo duniani au kuzimu?
 
Ww sio tu upo tofauti kidogo ni kwamba upo tofauti sana tu na viumbe wengine.
 
kwanza sina shibe nina maisha magumu hatari uliona wapi tajiri anamtusi Mungu adharan ni mm mr pipa na akili yangu timamu
Kama Mungu anakuacha ukazini na wake au waume za watu wakati anauwezo wa kustopisha liboroo lisifanye kazi na ukaokoka kwenye dhambi
Niseme tu tusipangiane

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mtaniua jamani
 
je Mungu ana huruma ? Vuta picha vita ya Ukraine bom linawalipukia watoto wasio na hatia lakini Mungu uwezo wa kusolve anao mbona anafanya kana kwamba haoni ila ukiiba au ukizin dhambi huiona

Mungu aliamuru taifa la Israel likapige vita taifa mojawapo la enzi zile matokeo yake watu walikufa wengi je nahio ni huruma
Mungu ameumba dunia amewapa wanadamu mamlaka waitawale.

Alipowapa wanadamu mamlaka aliwapa na uhuru , wakiamua kuuana, kupendana , kumuasi ni wao.

Mungu haingilii hata siku moja mambo ambayo amewapa wanadamu mamlaka.
 
Mungu ameumba dunia amewapa wanadamu mamlaka waitawale.

Alipowapa wanadamu mamlaka aliwapa na uhuru , wakiamua kuuana, kupendana , kumuasi ni wao.

Mungu haingilii hata siku moja mambo ambayo amewapa wanadamu mamlaka.
tusidanganyane mamlaka gani alio mpa mwana damu ikiwa amekaa na peni na karatasi kukuandikia dhambi mwisho akutie moton
 
Anakojimwaya mwaya wapi sasa huku kuzimu alikofungiwa ndio anajimwaya mwaya?? Maana sioni anapojimwaya unless hujui usemalo
Kama kafungwa anawezaje kutoka huko na kuja kuwarubini wanadamu?
 
Wewe ndio umeruhusu shetani akutumie, Mungu ajibu kesi gani sasa amekupa uhuru na wewe umechagua kuwa upande wa shetani ndo maana unampigia debe hapa
Yaani upewe uhuru halafu ukichagua upande wa pili uhukumiwe kwa kuchomwa moto. Kwanini hakumuondoa shetani tangu mwanzo? Uchokozi wa makusudi kabisa
 
Shetani yuko kuzimu huko kwenye shimo lisilo na maji, anasubiri hukumu yake ya mwisho, na duniani ndipo yalipo makazi ya wanadamu, shetani anatumia wanadamu kukontro dunia, akiwepo na wewe unayempigia debe hapa, anatumia wachawi, mapepo, na waganga kuvuna wanadamu ambao watakuwa upande wake akiwemo wewe, Ili siku yake ya hukumu asiwe peke yake. Lucifer as Lucifer amefungwa huko gerezani(kuzimu) hawezi kuja huku
Kila kitu hapa duniani ni kimeumbwa na Mungu, ni mali ya Mungu..
Wachawi, mapepo, lucifer na kila kitu. What a joke!
 
Muda wake upo wa kuuwawa, lakini kabla ya yote Mungu aliona si vyema akimuua shetwani papo kwa papo, ili asionekane ni Mkatili, basi alimpatia muda wa kukiri kosa ili amrehemu lakini alishupaza shingo ndipo alimtupa duniani.
Hakumuua shetani ili asionekane mkatili, ila shetani kusababisha sisi tutende dhambi na yeye Mungu aje atuhukumu kwa kutenda dhambi sio ukatili..
 
Mungu ameumba dunia amewapa wanadamu mamlaka waitawale.

Alipowapa wanadamu mamlaka aliwapa na uhuru , wakiamua kuuana, kupendana , kumuasi ni wao.

Mungu haingilii hata siku moja mambo ambayo amewapa wanadamu mamlaka.
Unasemaje haingilii wakati moto wa milele unatusubiri kwa hamu kwa maamuzi tunayofanya hapa duniani?
Mtawala ni yeye na sio sisi
 
Back
Top Bottom