mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,298
- 4,818
Nitakuwa tofauti kidogo na viumbe wengine.pia tofauti na KIRANGA na wenzake wasio amini uwepo wake mimi na amini yupoo ila utendaji wake wa kazi kidogo inanipa mshaka kama mashabiki wa vyama na mm Kwangu naona huyu shetani ndio mkombozi, kwa fact hizi
- Pale bustani ya edeni Mungu alimficha Adamu na Hawa ule utamu.Huyu bwana shetani alifanya kila njia akatutobolea siri leo kila mmoja wetu anainjoii kazi ya huyu mvumbuzi.pita guest zinavyojaa,angalia vijana,wazee nk wanavyopigania kupata hela ya kulia mbususu kwa kweli huyu jamaa shetani anastaili pongezi sana
- Unaweza muomba Mungu kitu akachelewa sana kukupa ila ukienda kwa huyu bwana fast tu unapokea angalia watu town walivyo madini,pesa nje nje lakini Mungu ukimuomba leo kukupa sahau bila kujisalimisha kwa shetani unakofa hata nyumbani huna, kwani uongo,mwamba anatupigania sana, wenyew mnajionea ni nani hapa hajawahi kwenda kule kwa mkombozi shetani kupitia mganga wa kienyeji
*Pia huyu jamaa anajali wanae na anajua kuhendo ukiona binti mtaam mrembo utasikia mwanangu fanya upunguze hizo mawe utakufa na nyege shauri yako,lakini mbabe Mungu utasikia ukimuangalia tu huyo manzi ushazini nae hapa ni moja kwa moja motoni, yaani hajali kama mwili aliokuwa amekupa sam taimu unastoku za nyege
Anachojua yeye ni kukuandikia dhambi usikute na mimi kuandika tu hapa tayari dhambi
Sasa nasema hivi Mungu we ni mbabe,katili,mchoyo,unawivu
Nimekuchoka sasa nipo huku kwa mtetea wanyonge , Mungu unakuwa kama wanasiasa nitakuletea maji mkinichagua,tutajenga barabara, na wewe ni hivyo mtaenda mbinguni,sa siungetupeleka moja kwa moja kwanini utulete huku duniani,
Shetani ww jembe unaupiga mwingi
Wakuu mkombozi ameniletea manzi ngoja nikaile ki rick boy nitakuja