Stoning of soraya
Hii ilitaka kuniulia mama yangu,wakati akiendelea kuiangalia mara chali!! Presha juu,mbio hospital hajitambui,baada ya hapo hataki kuangalia hata taarifa ya habari.
hakuna movie inayotoa machozi hapo,,labda una matatizo bob.
Movie moja ya Denzel washington mwanae anapata matatizo ya moyo na baba hana mpunga wa operesheni mpaka anateka hosp kulazimisha mwanae ahudumiwespecial forces. . . Yumo yule niga wa blood diamond kuna muda nilitokwa na machozi aisee
Inapatikana wapi hiyo movie dogo?na ni bei gani?ZITTO VS CHADEMA 2013.
Mimi hii movie ndiyo naiona moto chini.