Movie iliyowahi kukutoa machozi....

The Price (Nigerian movie - Richard Mofe Damijo), Suicide Mission - (Richard Mofe Damijo na Regina Askia), Johari part 1 and 2 (Vicent Kigosi, Kanumba na Binti wa Chagula), Sarafina.
 
Not without my daughter

Kongosho nikumbushe vizuri, Not without my daughter ni ile ambayo mama alikuwa aliolewa somewhere ambapo alitakiwa kurudi kwao sijui, ila akatakiwa kuondoka yeye bila mtoto? kwa hiyo akawa anafanya jitihada za kumtorosha?

Hiyo ninayo-fumble fumble na title, ni mama aliyekuwa na watoto wanne or watano, na alikuwa anaugua kansa. Madaktari walishamuambia kuwa ana miezi kadhaa ya kuishi, kwa hiyo ndani ya hiyo miezi alikuwa anatafuta familia ambazo zingeweza kuwatunza watoto wake while she's gone. Mpaka amebaki hoi bin taaban, bado mtoto mmoja hakuwa amepata pa kumuacha, sasa hapo pa yeye kuamka on her death bead na kuendelea kuzunguka kutafuta pa kumuacha, ndio paliponishinda.....
 
Last edited by a moderator:
Kongosho nikumbushe vizuri, Not without my daughter ni ile ambayo mama alikuwa aliolewa somewhere ambapo alitakiwa kurudi kwao sijui, ila akatakiwa kuondoka yeye bila mtoto? kwa hiyo akawa anafanya jitihada za kumtorosha?

Hiyo ninayo-fumble fumble na title, ni mama aliyekuwa na watoto wanne or watano, na alikuwa anaugua kansa. Madaktari walishamuambia kuwa ana miezi kadhaa ya kuishi, kwa hiyo ndani ya hiyo miezi alikuwa anatafuta familia ambazo zingeweza kuwatunza watoto wake while she's gone. Mpaka amebaki hoi bin taaban, bado mtoto mmoja hakuwa amepata pa kumuacha, sasa hapo pa yeye kuamka on her death bead na kuendelea kuzunguka kutafuta pa kumuacha, ndio paliponishinda.....
Duh! Sitaki tena hata kuiangalia,machozi yanaanza kunilenga kwa huo mwanzo wako tu.
 
Last edited by a moderator:
Hii ilitaka kuniulia mama yangu,wakati akiendelea kuiangalia mara chali!! Presha juu,mbio hospital hajitambui,baada ya hapo hataki kuangalia hata taarifa ya habari.

Mungu wangu, kumbe haya yanatokea kweli! Kuna mtu aliniambia bibi yake alifariki baada ya kuangalia sijui ilikuwa tamthilia gani, ambayo kuna mtu alipigwa risasi (ilikuwa very common, kipindi fulani). Bibi presha juu, kimbiza hospitali...bahati mbaya hakupona. Toka hapo mama yao (ambaye aliyefariki alikuwa mama yake), haruhusu tamthilia yoyote hata iweje!
 
Movie zote za Kanumba na Sajuki zote nikizitazama hata walipokuwa hai nilikuwa nalia tu hata sikujua sababu ni nini
 
WHO KILLED NANCY - Picha ya Kinigeria, hii ukiiangalia hata uwe mgumu vipi, lazima utoe machozi!!!

Tiba
 
Muvi gani seriously ulijikuta unatoa machozi (wakati unaiangalia au baada ya kuiangalia) kutokana na uhalisia wake kukugusa sana moyoni...achana na ile umeingalia ikakugusa na kuikubali tu kwa kuwa ni nzuri...NO..ILIYOKUTOA CHOZI!!
Sina uhakika kama hii topic ilishawahi jadiliwa humu maana nimejaribu ku search ila sijapata ninachokitaka..
Kwa upande wangu mimi ni hizi..

1. Marley and me
...hii nilivyoangalia mara ya kwanza baada tu ya kuisha nikaingia zangu chooni kujifungia ili nifute machozi maana tulikuwa tunaangalia watu wengi..kila mtu alinyanyuka kivyake ofcoz so sijui wengine kama nao walilia au la..

2. Pursuit Of Happiness
...nilijikuta tu machozi yanandondoka mwenyewe wakati muvi inaendelea..

3. Hatchiko the Dog Story
...inatia huruma sana hii..

4. Armeggedon
...ni SCI-FI movie ila pale mwisho chozi lilitoka kimtindo..

5. JOHN Q

6. Rango (Animation)
...hii machozi kwa kucheka...very touching ila inachekesha balaa..

7. Black Hawk Down

8. Blood Diamond

...hizi ni baadhi ya nnazozikumbuka harakaharaka...ningependa kuonza na nyingine zaidi ya hizi kwa msaada wenu..



Infact sio kunitoa machozi but ni movie ambazo zimewahi kunisikitisha sana

1. Everybody's Baby the rescue of Jessica Mcclure
2. The green mile
3. The way back
4. The boy in the striped pyjamas
5. After shock
6. Rules of Engagement
7. Saving private Ryan
8. A day in Iraq: American Soldier
9. We were soldiers
10. Nightmare on Elm street
11. Behind enemy line

hizi ni kati ya best movie zilizowahi kunisikitisha sio zote lakini ziko nyingi
 
Kongosho nikumbushe vizuri, Not without my daughter ni ile ambayo mama alikuwa aliolewa somewhere ambapo alitakiwa kurudi kwao sijui, ila akatakiwa kuondoka yeye bila mtoto? kwa hiyo akawa anafanya jitihada za kumtorosha?

Hiyo ninayo-fumble fumble na title, ni mama aliyekuwa na watoto wanne or watano, na alikuwa anaugua kansa. Madaktari walishamuambia kuwa ana miezi kadhaa ya kuishi, kwa hiyo ndani ya hiyo miezi alikuwa anatafuta familia ambazo zingeweza kuwatunza watoto wake while she's gone. Mpaka amebaki hoi bin taaban, bado mtoto mmoja hakuwa amepata pa kumuacha, sasa hapo pa yeye kuamka on her death bead na kuendelea kuzunguka kutafuta pa kumuacha, ndio paliponishinda.....

Not without my doughter imechezwa na Sarah field Mmarekani aliyeolewa na Muiran wakiwa hukohuko Marekani. Baadaye Muiran akarudi kwao yeye na familia yake ya mtoto mmoja.

Kufika kwanza uwanja wa Ndege anakutana na Askari wanaolinda maadili ya kidini 'Mutawa', na kutaka kumkamata kwa sababu amevaa kichwa wazi (tofauti na desturi za Kiislam). Kimbembe alipofika nyumbani na kwa bahati mbaya Ndugu wa Mume wakawa hawampendi. Na zaidi ya hapo wakaanza kumuona kikwazo kwa Kaka yao kwa sababu kun wakati badala ya kuamka na kuswali Swala ya adhuhuri yeye anapiga mbonji.

Hapo kivumbi kikaanza ndugu wa mume wakimtuhumu Mkwe na zaidi ya hapo na manyanyaso yakaanza pia kutoka kwa Mume, ndipo akapanga mpango wa kutorokea ubalozi wa Marekani akisaidiwa na baadhi ya Wairan vilevile.Ilikuwa hatari kweli..........!

Endelea kuitazama..........................

NB: Hii filamu ilipigwa marufuku Iran.
 
Back
Top Bottom