Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Kwa nini tunaendekeza mada hizi za udini? Serikali iingilie kati aisee. Kuhojiwa kuhusu DPW, kusifunikwe na kuleta mijadala ya kidini. Hapa mnajenga bomu na hamtaweza kulizima likilipuka. Hakuna awamu ambayo imeendekeza mambo haya ya udini kama hii.
 
Padre Kitina alinyamazishwa wakati wa JPM awamu hii kakutana na mama kutoka kizimkazi ndio ameamka.

DPW imepita bungeni na kupata baraka za wawakilishi wetu, na muda huu mikataba ya kazi inaandaliwa huko ughaibuni.
Wale ni wawakilishi wa CCM na matumbo yao, hawatuwakilishi sisi wananchi braza.

Wangekuwa wawakilishi wetu wangekataa ujinga wa DP WORLD na kubaki kusimamia rasilimali za nchi hii.

Machawa mmekamatwa na TEC aise🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ukikejeli waislaam unakuwa hukitendei haki,maana wana muogopa Mungu na wanaamini siku wakifa wataulizwa,ndio Maana Mwislaam kama Prof Assad huwezi kukuta kajilimbikizia mali au anafanya kazi kwa kuonea watu.

Kila mtu huwa anatamani hii nchi watawale waislaam maana hawana roho mbaya,huwa wanatoa afueni ya maisha kwa wananchi wa Chini

Ipo hivyo,watumishi Enzi za Kikwete aliwapa hazi zao kila mwaka,lakini wakati wa Mkono wa chuma waliambukia matusi tu.

Huo nduo wislaam unaofundisha uadilifu na kutidhulumu haki ya mtu.

Ndio maana Rais Samia alipoingia tu,alipandisha watumishi wote waliokaa miaka 7 bila vyeo.

Akafungua acvount zote zilizofungwa kwa dhulma,akawarudishia hela zao watu waliokuwa wameporwa.

Yote haya nikwasababu ya malezi na kuamini kuna siku atakufa na atulizwa
Kwahiyo umeme conclude kuwa waislam hawana roho mbaya ila Wakristo sio? Hapo Inaonesha mlivyo wabinafsi wavivu na roho mbaya. Otherwise usingeyaandika haya matakataka yako
 
Kuna hospitali za Aga Khan ambazo ni za kiwango cha kimataifa zinamilikiwa na waislamu pia kuna vyuo kama Al- haramain,Aga Khan University ambazo zinajitegemea kwa asilimia 100.Hivyo kama ni masuala ya huduma na waislamu wanahudumia wananchi wote bila ubaguzi.
 
Rtz akili hauna braza, kanisa katoliki inamiliki vitu vyingi sana hapa nchini, wanazo shule, zahanati, HCs, Hospitals, Referral Hsp, ok

Kanisa linajitosheleza braza, serikali hata zahanati tu baadhi ya maeneo nchini ndo leo wanaanza kujenga, machawa acheni ujinga
Wewe punguani kweli jibu hoja.

Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi?
 
Hulijui ulisemalo TEC ilianzishwa 1957 kabla hata ya uhuru huu unaojivunia sasa. Hao jamaa wanajua mengi kuliko wewe. Kabla hata serikali haina pesa. Bora utulie tu.
 
This thread proves that Tanzanian elites are nothing but a basket case of psychological dysfunction.
Usihangaike na anonymous ID brother, hapa unaongea na Dark side yake Ila huko nje, hana guts za kuongea aliyoyasema zaidi ya kuwa keyboard warrior..
 
Mkataba au Memorandum of Understanding kati ya TEC na Serikali unawapa TEC 36 Billion kila mwezi. Nusu ya pesa hizi zinatumika kulipia mishahara na starehe za hawa Ma padre kuji mwambafai.
Hawawapi 36b bana wanawapa laki 2 tu. Kama unabisha toa evidence
 
Wewe punguani kweli jibu hoja.

Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi?
Mimi punguani kama wewe ok, machawa level yenu ya elimu ni darasa la saba au division zero, huo mkataba unashupalia huko wapi? kwanini husiiweke hapa na sisi tuione? acha upimbi braza
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Nani amekudanganya fedha ya TEC inayotolewa na serikali haifanyiwi ukaguzi?? Issue hapa ni mkataba wa bandari. Usitutoe kwenye mada!!
 

Hapa suluhisho ni moja tu, nendeni mkawaambie Watu wa Dubai kuwa Wenyenchi wameukataa uuzwaji wa bandari yao. Mbona mnakomaa sana.

Watu watashindwa kuwaelewa, nyie ni Watanzania au watu wa Dubai?
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Ingekuwa hizo hela ni kitu basi TEC wangeufyata kwa Serikali, pamoja na hiyo ruzuku bado TEC wanaibwekea Serikali ndo ujiulize sasa hao TEC wanajivunia nini? BAKWATA kujengewa msikiti tu wameufyata
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.

Usijitoe ufahamu wewe,serikali ikivunja mkataba wataumia wananchi ,waambie BAKATWA wajenge hospitali hizo bilioni 36 mchukue nyinyi.
 
Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?

Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.

Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.

Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Huku kusini over 70% ya watu ni waislam,ila hospital zao za kutumainiwa ni St Walburg (Nyangao) na St benedict hosp (Ndanda),kuna watu mkuu ukikaa kuwasikiliza utastaajabu sana
 
Back
Top Bottom