James Kasonda
Member
- Apr 2, 2012
- 84
- 49
Bora ukose pesa upate akili na ujuzi sahihi. Inasikitisha sana!!Kufa ili ukanyage mafuta ya Mwamposa ni uzembe wa kufikiri sifa ambayo sikuwahi kudhani kuwa wachaga wanaweza kuwa nayo
Bora ukose pesa upate akili na ujuzi sahihi. Inasikitisha sana!!Kufa ili ukanyage mafuta ya Mwamposa ni uzembe wa kufikiri sifa ambayo sikuwahi kudhani kuwa wachaga wanaweza kuwa nayo
Hats Mimi nahisi...Nimeshangaa sana! Inaonekana Serikali ina maslahi na Mwamposa au hili tukio.
Ngoja tuone mwisho wake
Nimeshangaa sana! Inaonekana Serikali ina maslahi na Mwamposa au hili tukio.
ni kwasababu mkuu wa mkoa kama mwenyekiti wa usalama wa mkoa anatakiwa awajibike kwasababu vyombo vyake vililala usingizi.Nimeshangaa sana! Inaonekana Serikali ina maslahi na Mwamposa au hili tukio.
Sio Mwamposa tu... wachungaji uchwara wote. ukifanyika uchunguzi si ajabu kukuta kuna utakatishaji wa fedha kupitia hawa jamaa. Trust me.Nimeshangaa sana! Inaonekana Serikali ina maslahi na Mwamposa au hili tukio.
Kwanini Mungu wao mgawa upako hakuwaokoa?Hili tukio ni kwel sema nyie wanadam wa mtandao mnasikiliza mambo na kulipuka pasipi kutafuta ukwel,ushahdi unaonyesha kweli pale gettin walianza kufanya fujo na ndicho kilichosababisha,ni kwel mwamposa ana makosa yake ila hao walioingia na kuchocjea fujo wakat wenzao wanapata mafuta ya utakaso ndio walioleta shid.wapendwa huwa hawakanyagan
Kwahiyo kumbe mama alikuwa anatetea ugali wake. Leo nimemshusha vyeo sana, bora angekuwa neutral tuni kwasababu mkuu wa mkoa kama mwenyekiti wa usalama wa mkoa anatakiwa awajibike kwasababu vyombo vyake vililala usingizi.
Inawezekana Mkuu. Kuna siku RC Makonda alihudhuria ibada ya huyu jamaa akampa sadaka mamilioni ya pesaSio mwamposa tu... wachungaji uchwara wote.... ukifanyika uchunguzi si ajabu kukuta kuna utakatishaji wa fedha kupitia hawa jamaa. Trust me.
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani panakera
amesha kusanya..na akasepa zakeSadaka alikua kashakusanya already au?