Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 397
- 993
Wakuu kwema?
Tarehe 4/2/2020 Mwamposa na wenzake 7 waliachiwa kwa dhamana kwenye kesi iliyokuwa inawakabili, ambapo Kongamano lililokuwa linaongozwa na Mtume na Nabii Boniface Mwamposa lilisababisha vifo vya watu 20 wakati waumini wakiwa katika harakati za kukanyaga mafuta.
Mwamposa na wenzake walitakiwa kuendelea kuripoti kwenye kituo cha polisi wakati uchunguzi ukiendelea.
Swali ni je, kesi hii iliishia wapi? Ripoti ya Uchunguzi ulibainisha nini? Au ndio imeisha hivyo juu kwa juu kila kitu kimezikwa?
Uzinduzi wa hoteli kule Mbeya ndio ilikuwa poza poza ya kutusahaulisha kabisa na majibu ya uchunguzi wa suala hili? Mwenye kujua undani wa hili tujuze zaidi!
Kwenu Wakuu.
===
Pia soma: Mwamposa na wenzake waachiwa kwa dhamana. Najiuliza kesi ya mauaji ina dhamana? Ila ya uchochezi/ kutakatisha haina?
Tarehe 4/2/2020 Mwamposa na wenzake 7 waliachiwa kwa dhamana kwenye kesi iliyokuwa inawakabili, ambapo Kongamano lililokuwa linaongozwa na Mtume na Nabii Boniface Mwamposa lilisababisha vifo vya watu 20 wakati waumini wakiwa katika harakati za kukanyaga mafuta.
Mwamposa na wenzake walitakiwa kuendelea kuripoti kwenye kituo cha polisi wakati uchunguzi ukiendelea.
Swali ni je, kesi hii iliishia wapi? Ripoti ya Uchunguzi ulibainisha nini? Au ndio imeisha hivyo juu kwa juu kila kitu kimezikwa?
Uzinduzi wa hoteli kule Mbeya ndio ilikuwa poza poza ya kutusahaulisha kabisa na majibu ya uchunguzi wa suala hili? Mwenye kujua undani wa hili tujuze zaidi!
Kwenu Wakuu.
===
Pia soma: Mwamposa na wenzake waachiwa kwa dhamana. Najiuliza kesi ya mauaji ina dhamana? Ila ya uchochezi/ kutakatisha haina?