jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,586
Astakafirilah..!!
TOFAUTI yake agano la kale lilikuwepo kabla ya yesu kuzaliwa.unajua tofauti ya agano la kale na jipya???
tuanzie hapo kwanza
Acheni wivu bana mbona nyie mnakula ngamia na bata wakati Biblia imesema wazi ngamia na bata ni haramu lakini hatuwasimangi?Unamjua mbuzi? Ana kwato au Ana vidole?
Hebu tusiwe watu wa kukariri ungekuwa umekariri kila dhambi ukawa mbali nazo ungekuwa na nguvu katika imani sana sasa wewe komaa na Nguruwe watu tumeanza kula hadi Mamba nahisi unaumia sana kuona nguruwe analiwa ila huna namna kila siku wanazalishwa wengine kwa ajili ya mlo wa ndizi, usisahau bao moja la nguruwe ni watoto zaidi ya 8 sasa fikiria njisi gani tutanenepa.Mimi sijaandika biblia
Kama mkristo wa kweli. FUATA MAFUNDISHO YA BIBLIA.
Hiyo Biblia wewe unajua kuishika sana eeh...?!!Kama kuna sehemu. Mmeambiwa mle nguruwe kwenye biblia IWEKE.
Tunakula kwa matakwa yetu unasemaje sasa?BIBLIA haifundishi hivyo vinginevyo useme.
UMEJITOA KUWA MKRISTO.
![]()
SOMA AYA YA 3.
Kama yameingia nakula kwani nikila unaumia?Unaweza ukala matapishi?
Ngamia mmekatazwa wakristo. Wa Islam hatujakatazwa.Acheni wivu bana mbona nyie mnakula ngamia na bata wakati Biblia imesema wazi ngamia na bata ni haramu lakini hatuwasimangi?
Kwa kuongezea BIBLIA imekuja baada ya Yesu Kristu.Hebu kuwa muelewa:
Kwani jamaa hapo amezungumzia BIBLIA waliyoandikiwa wana wa Lawi au AGIZO?
Pia jamii zetu kiasili zinakula vitu mbalimbali sasa nani alituambia tule senene na kumbikumbi ni vile tu toka zamani tunafanya kuna wengine tunashangaa wachina kula nyoka ila kwao ni mboga safi sasa ngoja yeye awaonee kitimoto wivu.Kwani wanaokula wamepata madhara gani mpaka sasa?
Wanyama ambao hawaliwi ni ambao hawakuumbwa tu , waliobaki kama hana sumu ya kukuua au kukudhuru ruksa kula , usipokula wewe watakula wenzio.
ISHU SIO KUFANYA DHAMBI.Hebu tusiwe watu wa kukariri ungekuwa umekariri kila dhambi ukawa mbali nazo ungekuwa na nguvu katika imani sana sasa wewe komaa na Nguruwe watu tumeanza kula hadi Mamba nahisi unaumia sana kuona nguruwe analiwa ila huna namna kila siku wanazalishwa wengine kwa ajili ya mlo wa ndizi, usisahau bao moja la nguruwe ni watoto zaidi ya 8 sasa fikiria njisi gani tutanenepa.
Utetezi mwepesi kiasi hicho? Na sisi tumeruhusiwa kula nguruwe. Nyie waislam mtume wenu ndiyo aliwakataza msile hii nyama laini tamu ya kitimoto. Punguza wivu manNgamia mmekatazwa wakristo. Wa Islam hatujakatazwa.
Sasa kama kumbe imani zetu ni tofauti unachoking'ang'ania ni nini? Imani zetu tu hazifanani wewe unataka utukataze kula nguruwe mgonjwa wewe(kwa sauti ya Mkude simba).Ngamia mmekatazwa wakristo. Wa Islam hatujakatazwa.
HAKUNA MTU ANAYEKATAA KUWA HAYO MAKOSA NI DHAMBI.Hiyo Biblia wewe unajua kuishika sana eeh...?!!
Mbona ni Biblia hiyo hiyo imekataza ufiraji na ufirwaji na watu wanafanya?
Kwani usikazanie kupinga mambo hayo unaonea sehemu ya kiti - fire tu?
Acha watu wajipatie protini kwenye kitimoto yao , wewe kama huli endelea kunywa supu ya pweza.
Nyie kuna sehemu mliambiwa mlawitiane?ISHU SIO KUFANYA DHAMBI.
ISHU NI KUKUBALI KWAMBA. UNALOFANYA UMEKATAZWA NA MUNGU. ILA UNAFANYA UBISHI.
lazma tukubali kwanza tumekatazwa.
Sina MSEMO. hapo sawa.Tunakula kwa matakwa yetu unasemaje sasa?





Wapi mmeruhusiwa?Utetezi mwepesi kiasi hicho? Na sisi tumeruhusiwa kula nguruwe. Nyie waislam mtume wenu ndiyo aliwakataza msile hii nyama laini tamu ya kitimoto. Punguza wivu man
mambo ya walawi ni agano la kale ndo walikatazaTOFAUTI yake agano la kale lilikuwepo kabla ya yesu kuzaliwa.
Na agano jipya lilikuwepo baada ya yesu kuzaliwa na kufariki.
Biblia inasema vyakula vyote vipokelewe na kuliwa kwa shukrani baada ya kuviombea 1Tim 4 : 1 - 5 .Mimi sijaandika biblia
Kama mkristo wa kweli. FUATA MAFUNDISHO YA BIBLIA.