Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,810
- 218,467
Katika Muendelezo wa kutumiwa na ccm kisiasa , Jeshi la Polisi limetumwa tena leo kuzuia Msafara kabambe wa Katibu Mkuu wa Chadema , aliyeingia kwa kishindo mkoani humo kwa ajili ya vikao vya ndani vya chama chake (CHADEMA DIGITAL)
Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....
Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....