Hujafa bado ukaondoa keroAna kibali?
Hujafa bado ukaondoa keroAna kibali?
Stupid of you, Kuna sheria inayokataza mikutano ya vyama vya siasa vilivyoandikishwa kisheria?Wafuate sheria
Wanakagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo wa Serikali wanayoisimamiaNionyeshe vibali vya Hamdu Shaka au Chongolo vinavyowaruhusu kuzurula nchi nzima .
Kibali cha nini wakati yeye ni Mtanzania kama mimi na wewe.Ana kibali?
Endeleeni kupanua magoliWanakagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo wa Serikali wanayoisimamia
Katibu mkuu CCM anapiga ziara na mikutano ya hadharaKatika Muendelezo wa kutumiwa na ccm kisiasa , Jeshi la Polisi limetumwa tena leo kuzuia Msafara kabambe wa Katibu Mkuu wa Chadema , aliyeingia kwa kishindo mkoani humo kwa ajili ya vikao vya ndani vya chama chake ( CHADEMA DIGITAL )
Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....
Matokeo ya kiburi na kujiona wao ni kub mpaka Leo. hata hivyo wamemzuiaje Afu wakamuachia alitakiwa awekwe ndani Nina wasi wasi na uraia wake na alete vyeti vya kuzaliwa vya wazazi wake wote bila kusahau Cha Babu ni bibi yakeYa nini
Kwani Mbowe hawezi kutia neno hapo, au akazungumza na mwenzake kwenye "maridhiano" ili isionekane kwa wananchi kwamba mazungumzo ni kiini macho cha kuwatia usingizi CHADEMA?Katika Muendelezo wa kutumiwa na ccm kisiasa , Jeshi la Polisi limetumwa tena leo kuzuia Msafara kabambe wa Katibu Mkuu wa Chadema , aliyeingia kwa kishindo mkoani humo kwa ajili ya vikao vya ndani vya chama chake ( CHADEMA DIGITAL )
Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....
Polisiccm ni majambazi wanaovaa uniform,na CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kubaki madarakani kimabavuKatika Muendelezo wa kutumiwa na ccm kisiasa , Jeshi la Polisi limetumwa tena leo kuzuia Msafara kabambe wa Katibu Mkuu wa Chadema , aliyeingia kwa kishindo mkoani humo kwa ajili ya vikao vya ndani vya chama chake ( CHADEMA DIGITAL )
Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....
kibali kakuambia anataka kuchoma mkaa!Ana kibali?
Swali zuri sana.Kwa nini tunasheria ya vyama vingi huku vyombo halali vya serikali vikiizima sheria hiyo kwa vitendo?
PoliceccmSasa mbona mnakamatwa?
We tutusa haswa
Sina sababu maana si kero kwa wengine kama wewe. Huoni Jiwe alikufa maana alikuwa kero kwa wengineWewe umekufa?
Jo unachosha sanaHiyo anajua Mnyika