Morogoro: Polisi wazuia Msafara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika

Kazi ya polisi ni kulinda Aman Cha msingi kama chadema wanavikao vyao vya ndani hawatakiwi kuvunja Sheria hii ni nchi ya vyama vingi kumzuia katibu WA chama kutekeleza majukumu yake c SAWA kabxa Kwan hata mheshimiwa anataka aman
Msafara wa nini? Hata CCM hawana misafara, sasa nyie misafara ya nini! Kutaka sifa tu.
 
Ila kipindi cha JK hayo mambo ya vibali haikuepo, huyu mwendazake ndo alianzisha huu ushenzi, katika multiparty democrancy vibali hivyo vilisha tolewa na katiba tayari kwenye kipengere cha "freedom of political expression"
Dah!

Mwendazake ndio awamu ya sita? Au uelewi tupo awamu gani sasa hivi? Nakukumbusha mwendazake uliyemtaja ameshatangulia mbele ya haki, tupo na mama anaupiga mwingi.

Na hayo yote ndio matunda ya kupiga mwingi.
 
Kuna polisi hapo kavaa kiraia anayeongoza magari anaitwa samson au maarufu babu makoti huyo ni occid ambaye yupo juu ya rpc, rco na ocd wake hapo Morogoro si ajabu hii kaamua yeye wala hajatumwa na kiongozi wake yeyote!

Huyo kakaa kituoni hapo zaidi ya miaka 10 keshabadilishiwa rpc wawili na ocd watatu ila yeye haamishiwi mwanzo walisema ni ndugu wa siro anamlinda wengine wakasema anatumia sana uganga na sasa sijui watasema lipi maana huyu jamaa ukiingia 18 zake umekwisha anaua watuhumiwa kwa kipigo kuliko izirael hata wiki iliyopita maiti 3 zimetolewa sero wanadai ni kazi ya mikono yake!

Cha kushangaza hq ya polisi wanafahamu tuhuma zamakoti huyo lakini hawachukui hatua yoyote dhidi yake!
Well Noted Mkuu...
 
Back
Top Bottom