King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,691
- 68,673
Inasikitisha sana ,Polisi hivi hamkumsikiliza polisi mwenzenu alivyosema kwamba ipo siku mtastaafu?
Nasbukuru sana kwa jibu muruwa.Swali zuri sana.
Nami ningeongezea kama ifuatavyo. Kama kuna sheria inayoruhusu vyama vya siasa kufanya kazi zao, lakini sheria hiyo inavunjwa na taasisi inayotakiwa kuhakikisha sheria zinafuatwa, kwa nini hatua inayofuata isiwe kwa vyama hivi vya siasa kwenda mahakamani kutafuta haki zao?
Ninajuwa jibu litakuwa lile lile, kwamba mahakamani pia hawatatoa haki kwa vyama hivi.
Sasa kama itakuwa hivyo, si ni bora zaidi kuliko kukaa tu kimya na kubaki kulialia tu pembeni?
Matokeo hayo ya kunyimwa haki, si ndiyo yangekuwa ushahidi mkuu katika mahakama kuu zaidi mbele za wenye nchi wenyewe?
Kwa nini fursa hii hawataki kuitumia hawa CHADEMA? Hili bado silielewi.
Sure kinachosha sana takataka hili. Huwa namchukulia kama mtani kwa kiasi fuani, sasa anaanza kukera. Kuna mda wa ku sympathise na HAKI! ukaacha uCCM ukasema ukweli, ukakemea maovu!Jo unachosha sana
Na kesho mnakuja kusema mlikaa kwa kikao cha maridhiano huku mnakatazwa kutumia barabara mnazokatwa tozo, kisa kikao cha wakuu wa polisi hapo morena!.
View attachment 2389156
Huo ndo ukweli na mwenyekiti wao anajuaCCM bila dola, hakuna kitu.
Polisi wameona wivu chadema kushangiliwa kuanzia Mikese , kingorwila hadi Morogoro MjiniMsafara ubapita watu wanaushangilia kwa nguvu zote......
Hao watakuwa ni CCM wenyewe. Wanazuia mikutano halali ili kuchokoza Chadema kwa matarajio kuwa watafanya fujo ili wasema chadema ndo wasiotaka amani. Amani nintunda la haki. Haki isipokuwapo na amani haitakuwapo. CCM watende haki tu; wajitahidi tu hata kama si necha yao.Kuna watu wanatamani hii nchi amani itoweke. Kwanini watu wazuiwe kufanya kazi zao za kisiasa?
Kwani kakamatwa!CCM kwishaa! Kwishaaa! Kwisha kabisaa!
Huko Kilimanjaro ccm hawaelewani, Geita na Shinyanga tafrani tupu.
Kwahiyo wakisikia harufu ya chadema tu wanatetemeka.
Mwachieni John Mnyika haraka Sana.
Alishindwa kuimaliza katili muuaji Magufuli mpaka akimalizika yeye
Katika Muendelezo wa kutumiwa na ccm kisiasa , Jeshi la Polisi limetumwa tena leo kuzuia Msafara kabambe wa Katibu Mkuu wa Chadema , aliyeingia kwa kishindo mkoani humo kwa ajili ya vikao vya ndani vya chama chake ( CHADEMA DIGITAL )
Taarifa zaidi kuhusu Mtiti uliotokea zitakujia hivi punde .....
Ana kibali?
Kuna kitu flan jpm alikipanda , kinatakiwa kiondoke maana kitaleta ugomvi mkubwa mbeleniIla kipindi cha JK hayo mambo ya vibali haikuepo, huyu mwendazake ndo alianzisha huu ushenzi, katika multiparty democrancy vibali hivyo vilisha tolewa na katiba tayari kwenye kipengere cha "freedom of political expression"
Wafuate sheria