Morogoro ni kama imerogwa

Morogoro ni kama imerogwa

Morogoro ni mahali pazuri pa kuishi na kufuga,Kuna plenty ya ardhi kwa ufugaji na ukulima.
Ni rahisi kufika Dar/Dom kupiga mishe na kurudi home kuchil.
Its a nice place to raise kids compare to many places here in Tanzania.
Private Schools ni cheap,watu wao hawana mambo mengi,vyakula ni vingi,na unavipata fresh.
Ni Mji mzuri wa kuanzia maisha kama ilivyo mbeya,rukwa na Mwanza.

Done!
Hiyo ya kusomesha watoto private nimepapenda aisee.
 
Morogoro ni mahali pazuri pa kuishi na kufuga,Kuna plenty ya ardhi kwa ufugaji na ukulima.
Ni rahisi kufika Dar/Dom kupiga mishe na kurudi home kuchil.
Its a nice place to raise kids compare to many places here in Tanzania.
Private Schools ni cheap,watu wao hawana mambo mengi,vyakula ni vingi,na unavipata fresh.
Ni Mji mzuri wa kuanzia maisha kama ilivyo mbeya,rukwa na Mwanza.

Done!
Wewe sasa ndo umeeleza vizuri yaani ni mji mzuri kwa kuishi na sio biashara. Ni kama ilvyo dar ni mji wenye pesa nyingi ni mzuri na hauwezi linganisha na sehenu yoyote ile Tanzania kwenye suala la biashara na maendeleo ila kwa kuishi hauna sifa kuzidi mikoa mingi mfano Moshi, Mwanza, Moro, Mbeya na mingineyo.
 
Watu hujenga na kupanua miji kutokana na incentives za aina mbalimbali na huwa hawajengi tu kwa sababu wana fedha. Jiji kama Dar pamoja na kuwa na joto na mbu linapanuka kwa sababu watu wanavutiwa na ''faida'' ya kuishi hapo.
Sio joto na mbu tu, na kunuka pia.
 
Kwa mtu ambae ana miaka zaidi ya 15 toka alipouona mji wa Morogoro kwa mara ya mwisho , ninauhakika akiuona hivi sasa hataiona tofauti yoyote Ile ya kimaendeleo hususani miundombinu na makazi binafsi ya watu.
mji umechakaa, watu wanatembea mitaani wamefubaa kama mazombie sababu ya vumbi , huo mji umerogwa

Adios!!
Ukiona hivyo hakuna pesa hapo na mzunguko ni mdogo, na watu sio wapambanaji mji ukikaa kiswahili sana maendeleo huwa ni kazi sana, kitu kingine miji iliyokaribu na Dar haina maendeleo.
 
Kitu pekee kilichobadilika ni stendi ya Msamvu, hotel ya Shabiby na ile ghorofa mpya pale round about Msamvu
 
Kwa mtu ambae ana miaka zaidi ya 15 toka alipouona mji wa Morogoro kwa mara ya mwisho , ninauhakika akiuona hivi sasa hataiona tofauti yoyote Ile ya kimaendeleo hususani miundombinu na makazi binafsi ya watu.
mji umechakaa, watu wanatembea mitaani wamefubaa kama mazombie sababu ya vumbi , huo mji umerogwa

Adios!!
Unachosema ni kweli. Wewe angalia aina ya madiwani na wabunge wao.
 
Kuna siku nilimuibukia mke wangu mcharuko mbesile mponda pale Moro karibu na stendi.
Njaa inauma aloo kusogea jirani kuna ubwabwa maharage.
Sijawai tena kuona ule mzigo.
Alikua waarabu wale.
Nilipiga sahani 2 fasta.
Na nikala aboood kurudi home.
Mbesile yupo anasema niende tena Moro.
Ndugu zangu hizo kumbukumbu miaka ya 94.
Huyo Mbesile atakuwa kaolewa, ila tunavyopendana mpaka basi.
Kuna siku anapigwa viboko na mamaake mdogo nakaona
 
We unasema Moro Kuna mjinunaitwa Isaka kwenye media na serikali NI unatamkwa sana mji wa kimkakati bandari kavu aisee usiombe ujichanganye hapo...
 
Kweli kabisa moshi ipo karibu sana kuzidiwa na kahama manispaa nipo hapa. Na nadhani tyr ishapitwa.
Usichojua, MOSHI haibadiliki mjini....toka miaka ya 1995 Iko vile, vile.
MOSHI imeendelea vijijini au nje ya MJI.

Moshi au Kilimanjaro sio mkoa mkoa uliojengeka mjini bali vijijini.
 
Kwa mtu ambae ana miaka zaidi ya 15 toka alipouona mji wa Morogoro kwa mara ya mwisho , ninauhakika akiuona hivi sasa hataiona tofauti yoyote Ile ya kimaendeleo hususani miundombinu na makazi binafsi ya watu.
mji umechakaa, watu wanatembea mitaani wamefubaa kama mazombie sababu ya vumbi , huo mji umerogwa

Adios!!
Acha uongo morogoro ya sasa iko vzr sana ,
 
Usichojua, MOSHI haibadiliki mjini....toka miaka ya 1995 Iko vile, vile.
MOSHI imeendelea vijijini au nje ya MJI.

Moshi au Kilimanjaro sio mkoa mkoa uliojengeka mjini bali vijijini.
ukisema MOSHI direct unazungumzia mji huko kijijini sisi panatuhusuje?

Kama haibadiriki toka 1995 basi imekufa kifo cha mende hata katoro itaipita kama imesimama
 
Back
Top Bottom