Katoro sio mji, ni gulio lililojengwa hovyo hovyo, yani mipango miji ya hovyo katoro ni SI unitukisema MOSHI direct unazungumzia mji huko kijijini sisi panatuhusuje?
Kama haibadiriki toka 1995 basi imekufa kifo cha mende hata katoro itaipita kama imesimama
moshi na bukoba kumechakaa balaaNi kama Moshi mjini.
Wageni mara nying ndio hufanya mji kuchangamka na kuwa na maendeleo.
Moshi wana thamini sana Ardhi.
Sio rahisi kuuza ardhi na kama wakiuza basi ni bei juu tofauti n bei elekezi.
Hivyo unakuta Hakuna kitu kipya . Ni Moshi ile ile ya miaka 20 nyuma . Pia wanajenga vijijini kwao ambako vijana hakuna maana hakuna fursa ya uchumi.
TuliaKatoro sio mji, ni gulio lililojengwa hovyo hovyo, yani mipango miji ya hovyo katoro ni SI unit
moshi imepitwa hata na ubaruku kahama mafinga gairo na hata majimoto kwa kuchangamka ukiondoa shughuli za serikaliKweli kabisa moshi ipo karibu sana kuzidiwa na kahama manispaa nipo hapa. Na nadhani tyr ishapitwa.
Mji wa MOSHI haukiwi tena. Ulishafika mwisho toka 1990ukisema MOSHI direct unazungumzia mji huko kijijini sisi panatuhusuje?
Kama haibadiriki toka 1995 basi imekufa kifo cha mende hata katoro itaipita kama imesimama
Maajabu ya mwaka yaani stend yenyewe inahitaji reform ndo unambie umefika mwisho?Mji wa MOSHI haukiwi tena. Ulishafika mwisho toka 1990
Ukweli kabisa moro kwa uchawiNi mjini mzuri tatizo uswahili mwingi na wanapigana misumari sio kitoto
Hiki kitabia hata morogoro wanacho mtu ana nyumba mbovu katikati ya mji kuna watu wanafika bei lakn anakwambia siuziNi kama Moshi mjini.
Wageni mara nying ndio hufanya mji kuchangamka na kuwa na maendeleo.
Moshi wana thamini sana Ardhi.
Sio rahisi kuuza ardhi na kama wakiuza basi ni bei juu tofauti n bei elekezi.
Hivyo unakuta Hakuna kitu kipya . Ni Moshi ile ile ya miaka 20 nyuma . Pia wanajenga vijijini kwao ambako vijana hakuna maana hakuna fursa ya uchumi.
Sasa ule ni mji au mlundikano wa nyumba?Tulia
Ipe miaka 10 tu ndo utajua ni mji au kitongoji.Sasa ule ni mji au mlundikano wa nyumba?
Reform ya nini, Kuna watu wangapi MOSHI?Maajabu ya mwaka yaani stend yenyewe inahitaji reform ndo unambie umefika mwisho?
Utautanua mji wa MOSHI kwa kipi hasa? Watu wachache sana mji ushafika mwisho uleMaajabu ya mwaka yaani stend yenyewe inahitaji reform ndo unambie umefika mwisho?
Moro pazuri shida moja tuu, hamna mbususu classic sijui kwa nini"Jaman Morogoro yapendeza oooh,
Maji yatiririka Milimani oooh,, "
mji naupenda sana,, Mji umenilea Umenikuza,,
mkataa kwao ni mtumwa 😎
Niliwai kukodi chumba hoteli morogoro nikalala mwenyewe mpaka asubuhi apo ndio ninasapoti hoja ya mleta madaAcha uongo bwana miaka 15 maana 2010, Mlapakolo Street, karume, Sultani area, Kilakala road, Bogwa road, kichangani road, mafisa road, Kola makaburini, sabasaba street, Misufini road. Hizo barabara zoote hazikuwa na lami sasa hivi kuna lami. Na hiyo ndiyo nchi yetu ilivyo ulishacheki na miji mingine inakuwa km mchixha
Amewabinafsishia Waluguru basi lake chakavu lenye langi nyekundu! Ikitokea Mluguru amekufa tu, wanatoa taarifa faster na hilo basi linatolewa bure kwa ajili ya kuwapeleka wafiwa kwenye makaburi ya Kola kumzika mpendwa wao.Kwani aboood anasemaje
Ungemuuliza Adam ma... akimpata wapi wa kumwibia smg yake?Niliwai kukodi chumba hoteli morogoro nikalala mwenyewe mpaka asubuhi apo ndio ninasapoti hoja ya mleta mada
Huu mji umefubaa Kama ilivyo Moshi, Lindi, pwani, bukoba na kigoma