Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 18,309
- 37,070
Hapo MWANZA URBAN sijaona jipya kwanza kunavi daladalab(vipanya) sisi warefu na tulio zoea dar tunapata tabu sana na usafiri huo.Ukiacha Dsm.
Kuna miji pia TZ maendeleo yana kasi.
Mfano Dodoma , Mwanza, Arusha na miji kama Kahama.
Hii nimeshuhudia binafsi.
As years goes by. Maana nimepita miji hiyo 2010 na nikarud kwa wakat tofaut miaka ya 2020's.
Pia majengo mengii ni makuu kuu mjini kumepaukaa..pesa ngumuu ...matumizii juuu all in all mwanza niliona ni pagumuuu sanaa
Ni mtazamo wangu.