Morogoro ni kama imerogwa

Morogoro ni kama imerogwa

Ukiacha Dsm.
Kuna miji pia TZ maendeleo yana kasi.

Mfano Dodoma , Mwanza, Arusha na miji kama Kahama.
Hii nimeshuhudia binafsi.
As years goes by. Maana nimepita miji hiyo 2010 na nikarud kwa wakat tofaut miaka ya 2020's.
Hapo MWANZA URBAN sijaona jipya kwanza kunavi daladalab(vipanya) sisi warefu na tulio zoea dar tunapata tabu sana na usafiri huo.

Pia majengo mengii ni makuu kuu mjini kumepaukaa..pesa ngumuu ...matumizii juuu all in all mwanza niliona ni pagumuuu sanaa

Ni mtazamo wangu.
 
Morogoro sehemu gani unakopitia wewe?

Tuseme hata lami ya Kihonda-veta inayoelekea SGR hujaiona?

Vipi ile inayopita Tubuyu_Tungi? Na ile ya mafiga, Tumbaku_Kichangani hadi area 5?
Huyu haijui Moro ile
 
Takriban miaka minne nilienda Moro kama sio miaka mitatu iliyopita. For sure maendeleo yapo japo niliishia Msamvu. Nataka nikipata muda na kampani nizunguke zunguke ule mkoa kidogo.

Toka 2015 hadi 2023 nimefululiza kwenda Dodoma, huu mkoa umepiga hatua aisse. 2015 ulikuwa mbovu tu ila kwa sasa watu wanaupanua mkoa.
 
Huyu haijui Moro ile
Mkuu nataka nipate muda nije nitembee kidogo huko ili kutuliza akili kwa siku mbili au tatu. Je, wewe ni mwenyeji huko? Sehemu gani nzuri ya kupumzikia? Iwe lodge au hotel isiyozidi 40 per day.
 
Ni kama Moshi mjini.

Wageni mara nying ndio hufanya mji kuchangamka na kuwa na maendeleo.

Moshi wana thamini sana Ardhi.
Sio rahisi kuuza ardhi na kama wakiuza basi ni bei juu tofauti n bei elekezi.

Hivyo unakuta Hakuna kitu kipya . Ni Moshi ile ile ya miaka 20 nyuma . Pia wanajenga vijijini kwao ambako vijana hakuna maana hakuna fursa ya uchumi.
Watu hujenga na kupanua miji kutokana na incentives za aina mbalimbali na huwa hawajengi tu kwa sababu wana fedha. Jiji kama Dar pamoja na kuwa na joto na mbu linapanuka kwa sababu watu wanavutiwa na ''faida'' ya kuishi hapo.
 
Ana garage pale ukitoka dar lazima upite, Mbeya mtashuka pale, mwanza pale mtapita tu
Ndio aboood hiyo
kushuka garaging kwake poa TU
ila atengengeze ile restaurant IPO pale nje ya garage yake

ni aibu restaurant yake pale ni Banda la udongo ,chakula pale mgahawani ni cha ovyo sana , u aletewa ugari dagaa au na mishikaki ya chelewa kwenye sahani ya bati.

Abood awasaidie wale mama ntilie wa pale nje ya garage yake Morogoro kwa kuwajengea restaurant ya kisasa tena yenye vyoo,vinginevyo sio poa kabisa
 
Mkuu nataka nipate muda nije nitembee kidogo huko ili kutuliza akili kwa siku mbili au tatu. Je, wewe ni mwenyeji huko? Sehemu gani nzuri ya kupumzikia? Iwe lodge au hotel isiyozidi 40 per day.
Unakuja kwa ajili ya kupumzika tuuu, au semina.
Kama ni semina ili ulale karibu na semina hall.
Kama unakuja kutembea tuu ulale town kabisa ili jioni utembee tembee.?
Uende Live band hizo na mengine?
 
Ni kama Moshi mjini.

Wageni mara nying ndio hufanya mji kuchangamka na kuwa na maendeleo.

Moshi wana thamini sana Ardhi.
Sio rahisi kuuza ardhi na kama wakiuza basi ni bei juu tofauti n bei elekezi.

Hivyo unakuta Hakuna kitu kipya . Ni Moshi ile ile ya miaka 20 nyuma . Pia wanajenga vijijini kwao ambako vijana hakuna maana hakuna fursa ya uchumi.
moshi imeendelea hauko serious mkuu…kwanza mara ya mwisho kwenda ilikuwa lini na ulikuwa wapi??maana mi mwenyeji
 
moshi imeendelea hauko serious mkuu…kwanza mara ya mwisho kwenda ilikuwa lini na ulikuwa wapi??maana mi mwenyeji

Majengo. Dec,2024.

Na pia Old moshi . Maeneo ya Kcmc na Kibosho nilifika.
Ni vile vile mkuu. Maendeleo ni madogo kulinganisha na miji mingine.
 
Kwa mtu ambae ana miaka zaidi ya 15 toka alipouona mji wa Morogoro kwa mara ya mwisho , nina uhakika akiuona hivi sasa hataiona tofauti yoyote Ile ya kimaendeleo hususani miundombinu na makazi binafsi ya watu.
mji umechakaa, watu wanatembea mitaani wamefubaa kama mazombie sababu ya vumbi , huo mji umerogwa

Adios!!
Utapeli huu wapi ambako hamiachakaa?
 
Hapo MWANZA URBAN sijaona jipya kwanza kunavi daladalab(vipanya) sisi warefu na tulio zoea dar tunapata tabu sana na usafiri huo.

Pia majengo mengii ni makuu kuu mjini kumepaukaa..pesa ngumuu ...matumizii juuu all in all mwanza niliona ni pagumuuu sanaa

Ni mtazamo wangu.
Ohoo Mbeya vipanya vya kuvitafuta tatizo bajaj nyingi hadi kero,Tulia naona ni mojawapo ya Kiki ya kisiasa suala la mandhari halimhusu.
 
Hapo MWANZA URBAN sijaona jipya kwanza kunavi daladalab(vipanya) sisi warefu na tulio zoea dar tunapata tabu sana na usafiri huo.

Pia majengo mengii ni makuu kuu mjini kumepaukaa..pesa ngumuu ...matumizii juuu all in all mwanza niliona ni pagumuuu sanaa

Ni mtazamo wangu.
Uko sahihi kabisaa
 
Back
Top Bottom