Shammy-
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 7,177
- 18,841
Sjui muulize mzabzabTulia wewe hivi Mtwara bado wanaadhimisha siku ya waliouwa kwenye gesi?
Sjui muulize mzabzabTulia wewe hivi Mtwara bado wanaadhimisha siku ya waliouwa kwenye gesi?
CHUKI kwa wageni inawagegeda,matajiri wako DSM,kwahiyo biashara inafanyika Moro pesa inaamkia DsmKwa mtu ambae ana miaka zaidi ya 15 toka alipouona mji wa Morogoro kwa mara ya mwisho , nina uhakika akiuona hivi sasa hataiona tofauti yoyote Ile ya kimaendeleo hususani miundombinu na makazi binafsi ya watu.
mji umechakaa, watu wanatembea mitaani wamefubaa kama mazombie sababu ya vumbi , huo mji umerogwa
Adios!!
Kafo mbeeMoshi pale kwenye Boma tuna nyumba 3. Moja imepangishwa. Moja iko wazi na moja ndio anakaa Mama Mkubwa. Na yuko mwenyewe na dada wa kazi.
Tuna family tree ndogo.
Alaf Unajenga nyumba kule nani akae. Tushajenga mjini. Kule tutarud kuzikwa.
Morogoro kila mtu tapeli,eti wanadalia hadi watu wanaotafuta lodge.
Ah Shy ndo balaa .bora MoroVimiji vyote vya Tanzania uchafu mtupu vinafanana tu hata kwetu Shinyanga nako ni yale yale tu.
Umenijumbusha safar ya Madagascar, kufuata dawa ya Corona...nchi imepita vipindi vigumu hii!!Prof palamagamba anasemaje
Ahahahah Mlowo kuelekea Tunduma hiyo si ndio?? Daahh nilikuaga pande hizo mwaka 2014Baada ya miaka 7 Morogoro itazidiwa na Mlowo, nipo Mlowo njooni
Mkuu huko ulipoenda palikuwa tayari pameendelea ndo maana umeona hivo,ukija sehemu kama mjohoroni,sango ukisema uangalie 10 years back na saiv maendeleo ni makubwa aisee ,,,,na kama old moshi mi pia nimeishi huko sana zamn kulikuwa hamna lami saiv lami ipo and other social services kama maji(tofauti na zamani)…..pia mkuu usiangalie majengo majengo tu angalia sekta ya elimu📈,afya📈 nk?Majengo. Dec,2024.
Na pia Old moshi . Maeneo ya Kcmc na Kibosho nilifika.
Ni vile vile mkuu. Maendeleo ni madogo kulinganisha na miji mingine.
Braza umeongea kitu ambacho nilikiona kama miaka minne iliyopita. Moshi inakufa aiseeNi kama Moshi mjini.
Wageni mara nying ndio hufanya mji kuchangamka na kuwa na maendeleo.
Moshi wana thamini sana Ardhi.
Sio rahisi kuuza ardhi na kama wakiuza basi ni bei juu tofauti n bei elekezi.
Hivyo unakuta Hakuna kitu kipya . Ni Moshi ile ile ya miaka 20 nyuma . Pia wanajenga vijijini kwao ambako vijana hakuna maana hakuna fursa ya uchumi.
Hapana bana,Morogoro imechakaa pale katikati,ila ukiwa unatoka nje ya mji wamejitahidi sana upande wa makazi mapya,ingawa sehemu nyingi hazikupangwa vizuri...Kwa mtu ambae ana miaka zaidi ya 15 toka alipouona mji wa Morogoro kwa mara ya mwisho , nina uhakika akiuona hivi sasa hataiona tofauti yoyote Ile ya kimaendeleo hususani miundombinu na makazi binafsi ya watu.
mji umechakaa, watu wanatembea mitaani wamefubaa kama mazombie sababu ya vumbi , huo mji umerogwa
Adios!!
Punde itaitajwa Shinyanga, Tabora, Lindi na Ntwara. We subiri uone.Hapo juu imetajwa Morogoro, Moshi gafla Tanga!
Kiujumla semeni tz yote, acheni rejareja 😎
Uzi ufungwe sasa hii comment imemaliza mjadalamji umebuma, mpaka madada poa niwalewale wa tangia miaka ya 2009, mji umetapakaa azuma
Kuna wanaotumia maji kutika mlimani na wale wa bwawa la mindu"Jaman Morogoro yapendeza oooh,
Maji yatiririka Milimani oooh,, "
mji naupenda sana,, Mji umenilea Umenikuza,,
mkataa kwao ni mtumwa 😎
Kahama ni mji wa kibiashara unafananisha na Moshi mji wa kichovu..Kweli kabisa moshi ipo karibu sana kuzidiwa na kahama manispaa nipo hapa. Na nadhani tyr ishapitwa.