muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,923
- 14,912
Sioni kosa lolote la Mohamed Said....ameeleza vzr tu...ila Kuna wapuuzi wanaingiza vitu visivyohusika..
Wacha uvivu wa kufikiri kijana ndugu muandishi Mohamed Said anaandika vitu kwa mifano ili wazi kbs ww unae sema mdini ebu tueleze kwa mifano ilo wazi kbs huo udini wake upo wapi khs ndugu Jamal yasin yupo hai picha zake zipo video zake zipo wakt wanafanya mahojiano nae khs udini upo wazi wazi katk nchi hii kuna mfumo katoliki wazi wazi kbs angalia viongozi mashirika yetu asilimia 96 ni dini upande mmoja vp upande wa pili ndio hatuna Elimu sio jaribu kuangalia swala Dk. DAU mlivyolichukulia vp khs Yule kamishina wa TRA naona kmy mpk leo
Jaribu kumuelewasha huyo ndugu singwa kwangu binafsi sioni uchochezi wwote toka ndugu Mohamed Said maana Siku zote anachoandika kina kuwa ushahidi kamili hlf ni darasa kwetu kujua tulikosea wapi mfano ipo mingi siwezi kumaliza hapa pole sna mzee wetu Mohamed Said naomba usichoke wala kuvunjika moyo ktk kutupa Elimu
Matusi na kashifa zinatoka wapi sijui ila sawa wengine atajalelewa ktk malezi hayo ndugu ynguUkiwa mzee utakuja kua mpuliza pembe la msibani,fundi baiskeli,mpiga ramli au mganga wa kienyeji!!
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
We jamaa una akili ndogo kama zipu ya chupi!! Sadaka za masjid haziliwagi zile au kuna sehemu mnaendaga kumpa allah??Wanaopotosha Mapastor wako wanaojiita mitume na kula hela zenu kila jumapili. Acha kushoboka mtoto wakiume wewe utalambwa makalio mjini hapa.
It is honestly true bro LebronWade.Wewe na Bwana Mohamed Said wote mnashindwa kutumia bongo zenu vizuri.
Ukristo na Uislam vyote ni dini walizotunga wehu wachache kuwa control nyie,yaani wamewaharibu mental faculties zote kila mmoja amuone mwenzie adui.
Mtatoleana maneno ya kijinga mpaka mtaanza kuuana,badala upiganie ustawi wa jamii yako na maendeleo yake kiafya na kiakili mnaishia kutetea doctrines walizotunga wanadamu kama wewe na mimi,wenye udhaifu wote wa kibinadamu wa ubinafsi na greedy,nk huku wanakudanganya wamemuona mungu na wametumwa nae kuja kuwafundisha na kuwatawala
Hebu teteeni wananchi wenu wanaokufa kila siku kwa magonjwa na uonevu,acheni kuendeshwa na vitu vya kufikirika,yaani kitabu kinakujaza imani mpaka unamchukia mwanadamu mwenzio na mwisho unadiriki hata kumuua kwa kigezo eti unampigania mungu wako,haya wanaweza fanya sokwe na wanyama tu.
Ma imani yote ya namna hii whether ni ukristo au uislam ni si za kuchukulia serious/literally.
Ok tumesoma sheikhAsigwa,
Sina sababu ya kuandika uongo.
Hili kwanza.
Pili sijapatapo kujiita mwandishi.
Hata nikitaka kujivika joho hilo basi litanienea.
Hiyo ulobandika haijakamilika.
Hivi punde tu nimemaliza kuhariri makala yangu.
Nimeongeza kitu muhimu.
Hii nakuwekea hapa:
Mohamed Said: ''USTADH'' JAMAL YASSIN TAPELI BINGWA
Uhongo 'uongo'Kwa hili naomba nimtetee Mohammed Said
Kwanza kwa kukuri kwake kuwa amedanganywa, hapo ameonyesha uungwana mkubwa sana.
Pili, angelikaa kimya halafu mtu mwingine ndio akaja kugundua ile habari ya Mzee Mohammed Said ni ya uhongo, hapo ungeweza "kumshambulia" Mzee Mohammed Said kwa kuandika uhongo.
Tatu, sioni kosa au uhongo wa Mzee Mohammed Said.
Nyiokunda,Ok tumesoma sheikh
Mim nyiokunda kuomba radh kwa maandishi ni jambo la uungwanaAsigwa,
Nami nakushukuru.
Umslopagazi,It is honestly true bro LebronWade.
Stinariga,ms nakupa heko na hongera kwa kuwa muungwana wa kuomba radhi. naomba pia upite misikiti na pote alipopita huyo kijana usaidie kukanusha uongo wake.
mwsho kuwa muangalifu na habari za kupewa au kusikia tu.
ubarikiwe kwa jina la YESU.
Nyaka-One,Miaka hiyo ya 1980 na 1990 nilikuwa napenda sana kusoma majarida ya Africa Events na Africa Now huku nikiamiani habari zake. Sasa kama huyu mzee wetu MS alikuwa ni mmoja wa waandika makala basi wasomaji tulilishwa pumba nyingi sana bila kujua.
Matusi ndo jadi yetu wenzenuJadili kwa hoja mkuu, kwa hoja. Matusi hayasaidii
Bowlibo,Mohamed Said we kabila gani
Mgirik,Mkuu nmetukana kwahasira ya ghafla kwa kuwa huyo jahideen uliyeandika stor yake anaonekana ni mtu hatar sana na anashirikiana kwa ukaribu kabisa na wale magaidi..
Unaposikia magaidi sio utani kama ambavyo humu kwenye hii forum watu wanavyochukulia rahisi wale ni magaidi kweli kias kwamba wasingeshughulikiwa ipasavyo Tz ingekuwaa kama Nigeria ni Vijana wenye umri mdogo lakn wanaongea mambo hatar na mazito.. Shukran sana zuwaendee watz wachache wenye mapenz na nchi yao ambao walishirikiana vyema na intelijensia ya polis..
Huyu mtu alikuelezea mambo mengi na ya siri zaid cha kujiuliza ni kuwa yeye kuyajua na kuyapata wapi???