Mohamed Said acha upotoshaji wa makusudi

Mohamed Said acha upotoshaji wa makusudi

Hata Aliekuwa Rais wa Marekani aliwahi kusema CIA walimpa information sio juu ya Iraq. Na alikubali kosa lake na hapa Mohammed Said amekubali kosa lake. Kuwa kapewa maelezo yasio ya kweli na kuyachapisha kwenye mitandao na Magazeti. Sasa huo udini umetokea wapi?? Mbona Serikali inawazuilia Uamsho mpaka leo kwa kosa la Ugaidi lakini hawana ushahidi miaka mitatu sasa?? Na hujaleta uzi juu ya serikali kuwa waongo.
 
Jadili kwa hoja mkuu, kwa hoja. Matusi hayasaidii
asigwa angelimPM Mohammed Said kabla ya kuleta huu uzi. Kwasababu Mohammed Said kishakubali kosa sasa ya nini kuja na uzi huu? ikisha kusema kama ni mdini. Hoja aliekosea ameshalikubali kosa lake. Huyu asigwa anapendaga mambo ya mabishano ya Waislam na Wakristo ndio maana akaja na ujinga wake huu.
 
Wacha uvivu wa kufikiri kijana ndugu muandishi Mohamed Said anaandika vitu kwa mifano ili wazi kbs ww unae sema mdini ebu tueleze kwa mifano ilo wazi kbs huo udini wake upo wapi khs ndugu Jamal yasin yupo hai picha zake zipo video zake zipo wakt wanafanya mahojiano nae khs udini upo wazi wazi katk nchi hii kuna mfumo katoliki wazi wazi kbs angalia viongozi mashirika yetu asilimia 96 ni dini upande mmoja vp upande wa pili ndio hatuna Elimu sio jaribu kuangalia swala Dk. DAU mlivyolichukulia vp khs Yule kamishina wa TRA naona kmy mpk leo
Mkuu umetoka nje ya mstari, soma tena mada tajwa hapo juu.
 
Kwa hili naomba nimtetee Mohammed Said

Kwanza kwa kukuri kwake kuwa amedanganywa, hapo ameonyesha uungwana mkubwa sana.

Pili, angelikaa kimya halafu mtu mwingine ndio akaja kugundua ile habari ya Mzee Mohammed Said ni ya uhongo, hapo ungeweza "kumshambulia" Mzee Mohammed Said kwa kuandika uhongo.

Tatu, sioni kosa au uhongo wa Mzee Mohammed Said.
 
Wanaopotosha Mapastor wako wanaojiita mitume na kula hela zenu kila jumapili. Acha kushoboka mtoto wakiume wewe utalambwa makalio mjini hapa.
Sasa Kama wanakula hela zao kila jumapili wewe unaumwa wapi? Kwenye Makalio?
 
M
Ni kweli kabisa mkuu, anatunga story za kuunga unga halafu anakuja kuaminisha umma kuwa ni historia zilizotukuka za kupambana na mfumo kristo
Mimi huwa sisomi upuuzi Wake, hana tofauti na ponda
 
Sipendagi kabisa kuingilia mada za udini ila kama hilo tukio huyu mzee kalitunga ,naweza kumwita yale majina ya Mkapa jangawani ila kwa sababu ni Mzee wacha nimpe heshima yake ,japo kafanya kosa kubwa sana na huenda kwa sheria hizi za mitandao anaweza asiwe salama
 
Hili la kukiri humu kuwa kakosea hawezi kulifanya kwa kuwa anajua wazi kuwa watu watahoji uwezekano wa zile makala nyingie zilizopita kuwa nazo zina makosa vilevile.

Swali gumu hapa, ni je makosa hayo ni ya makusudi au bahati mbaya??
Asigwa,
Inaelekea wewe mimi hunifahamu.
Mimi si mwandishi wa habari.

Uandishi wangu si wa makala.
Ulitakiwa angalau kabla hujaandika ukafanya utafiti lau kidogo unijue.

Chukua nafasi hii kupitia niliyoandika kisha rejea katika mjadala.
 
Mkuu haya unayoyaandika hpa ni yale yaliyomo kwenye mfululizo wa makala zake ambazo wewe unaziona kuwa "zimekutoa katika giza la ujinga(kutokujua)".

Kama ameweza kupotosha kwenye uzi wake huo, iweje nyuzi nzyingine zisiwe na upotoshaji??

Vipi kama upotoshaji huo ni wa kupanga na wa makusudi??
Ndio nmepata jibu muda labda umri wako mtt mdogo au labda kichwa chako akipo sawa ss uwa huoni km kunakuwa ushahindi kamili picha pamoja baadhi ya wahusika bado wapo hai unaweza kupata ushahidi huo kumbe umejaa chuki binafsi juu Mohamed Said
 
Huyo mzee ana mihemko ya kidini.
Molembe,
Mimi siye mtu wa kwanza kuandika hatari ya udini katika Tanzania.

Alianza P van Bergen (1981).
Akafuatia John Sivalon (1992).

Kisha akaja Hamza Njozi (2002).
Kitabu cha Njozi kikapigwa marufuku kusomwa Tanzania.

Itakusaidia kuwasoma watafiti hawa ujue walisema nini na
utulize akili uako upate kuandike vyema.

Lugha za ''huyo mzee,'' ni dalili ya hamaki na ukiwa na hamaki
huwezi kufikiri vyema.

Ikiwa huwezi kufikiri vyema njia nyepesi ni kuleta jeuri na lugha
zilizokosa adabu.

Katika hali kama hiyo ni vigumu mimi na wewe tukafanya mjadala
wenye manufaa kwa jamii yetu.
 
Kavae mabomu tujue moja kama maandiko yenu yanavyosema
Wapi maandiko yetu yanasema tuvae bomu acha uvivu wa kufikiri udini sio kitu kizuri sote kitu kimoja mtaliko moja awezi kufanya wakoliki wote tuwaone washenzi acha kbs kashifa za kijinga
 
Asigwa,
Inaelekea wewe mimi hunifahamu.
Mimi si mwandishi wa habari.

Uandishi wangu si wa makala.
Ulitakiwa angalau kabla hujaandika ukafanya utafiti lau kidogo unijue.

Chukua nafasi hii kupitia niliyoandika kisha rejea katika mjadala.
Nafikiri umeeleweka vzuri kbs ninachokiona kwa Asingwa chuki juu yko nn chanzo kuamcha walio lala na utachukiwa sna juu ilo hakika mungu atakusimamia
 
Ndio nmepata jibu muda labda umri wako mtt mdogo au labda kichwa chako akipo sawa ss uwa huoni km kunakuwa ushahindi kamili picha pamoja baadhi ya wahusika bado wapo hai unaweza kupata ushahidi huo kumbe umejaa chuki binafsi juu Mohamed Said
Rubawa,
Hilo la kuwa na kazi iliyo na makosa wala si jambo la mtu kulikataa.
Kazi yoyote ile ya mikono ya binadamu haiwezi kukamilika.

Ndiyo maana hapa tupo tunajadiliana.

Ikiwa Asigwa ameona kosa katika kazi yangu yoyote ni haki yake
kunisahihisha.

Nilipopata taarifa kuwa Jamal Yassin ni tapeli haraka sana nimefuatilia
habari zake na nikafanya masahihisho na kuwataka radhi wasomaji wangu.
 
Back
Top Bottom