Bazazi,
Ijumaa ndiyo siku Waislam tunapokutana katika misikiti yetu na kupeana taarifa
za juma zima.
Kuhusu Mfumokristo msome J Van Bergen (1981) na John Sivalon (1992)
hawa ndiyo watu wa kwanza kueleza habari hizo.
Baada ya vitabu hivyo ndipo mimi nikaja na kitabu cha Abdul Sykes (1998)
kwa lengo maalum la kuokoa historia ya Waislam katika kupigania uhuru.
Baada ya hapo ndipo nikaandika mswada ''Christian Hegemony and the Rise of
Muslim Militancy,'' (bado kuchapwa).
Sasa kama kuna suala la ushabiki ingefaa tuanze na Bergen na Sivalon.
Mkuu,
Kule Pakistan wamarekani walifadhili vikundi vya kijahidina kwa pesa ndefu sana nyakati.za cold war. Madrasat zilijengwa kwa us dollar. vijana wa kipakistani waliopewa mafunzo day in day out, waliingia vitano kupigania kuilinda Afghanistan isimezwe na USSR.
Mwishowe Urusi ikashindwa kuichukua Afghanistan.
Wale vijana walipomaliza ile kazi wakiwa idle hawana ramani wakiwemo wakina Osama bin Laden's wakageuka na kazi nyingine....
Sasa hao waandishi uliochukukua nukuu zao ni raia.wa kigeni..Mimi na wewe
Hatujui dhamira yao hasa ya kuandika.kile.walichoandika.kuhusu taifa hili lililokua Non alignment movement. Na kwa majina yao.wako.kama.wanatoka.magharibi.
Hivyo basi
Kwasababu.. Uliona si sehemu ya Dini yako unayoisadiki,.pengine. Basi ukaona utumie vyanzo vyao ili uonekane wewe Uu neutral, in reality wewe ni fanatic kama wengine..
Ndio maana umejikita katika kuandika maandishi yatakayo wagawa watanzania especially wale simple Minded people katika utaifa wao. Hukutazama repercussions.
Sidhani kama ulikua na nia njema na WAKRISTO wasiojua hayo ambayo umeyaeleza.
mwishowe hata kama tuna moyo wa kukusapoti baadhi ya mambo tunapata mashaka kwakua uko more pro-islam.
Katika ulimwengu huu uliojaa fundamentalists ni wazi kabisa kazi zako zikazalisha magaidi uko mbeleni.
Kwasababu unaijua vyema hulka ya watu wa dini yako.
Pia kujidanganya kua historia ingeandikwa unavyotaka ingesaidia uislamu. Lakini unasahau kua kwa upande wa pili Ina maana ingedhohofisha wasio waislamu
.
Ni nani.anataka... Obvious. Hakuna
Uandishi wako uko biased na haujengi.na umoja wa taifa.
Huu ni mtazamo wangu...., kua uandishi wako una Mushkeli...