Mohamed Said acha upotoshaji wa makusudi

Mohamed Said acha upotoshaji wa makusudi

Bazazi,
Ijumaa ndiyo siku Waislam tunapokutana katika misikiti yetu na kupeana taarifa
za juma zima.

Kuhusu Mfumokristo msome J Van Bergen (1981) na John Sivalon (1992)
hawa ndiyo watu wa kwanza kueleza habari hizo.

Baada ya vitabu hivyo ndipo mimi nikaja na kitabu cha Abdul Sykes (1998)
kwa lengo maalum la kuokoa historia ya Waislam katika kupigania uhuru.

Baada ya hapo ndipo nikaandika mswada ''Christian Hegemony and the Rise of
Muslim Militancy,'' (bado kuchapwa).

Sasa kama kuna suala la ushabiki ingefaa tuanze na Bergen na Sivalon.
Mohamed Said
Utetezi wako hauna mashiko kabisa hasa kwa mtu kaka wewe uliye mweledi ktk uandishi. Kuletwa na Sheikh anayeaminika, kuwa na barua ya Mufti, kuandikwa na gazeti hakukuondolei ufahamu wako. Kinachokuondolea ufahamu ni Uislamu wako kwani anayeeleza kutendwa na polisi wa "mfumo kristo" ni Muislamu mwenzako.

Waandishi na vitabu ulivyotaja wala sio hoja kwangu kabisa. Ukiwa mwanazuoni huru huwezi tegemea tu maandishi ya watu wengine lazima ufikiri ukiwa peke yako. Kikubwa kinachokusumbua ni Udini wa kudhani waislamu wanaonewa na kupuuzwa.

Unasema ugaidi ni hoja yenye utata; Labda kweli. Ila ninachojua na kuamini ni kuwa kuna waislamu magaidi na wengi ni kutoka madhehebu madogo ndani ya madhehebu makubwa ya Sunni. Madhehebu hayo yana majina mengi kutokana na maeneo. Tanzania yanaitwa Answar Sunna lakini Uarabuni ni Salafi au Wahabi lakini mikoa ya kusini huitwa Chimumuna. Inajulikana lengo kuu ni kusimika utawala wa Kiislamu Tanzania. Na kwa jinsi unavyotetea hoja zenye utata nahisi nawe ni mmoja wapo wa Waislamu hao. Unachojaribu kufanya ni kuwaonesha Waislamu jinsi wanavyopuuzwa na serikali ya "mfumo Kristo" hivyo kushawishika kirahisi wakielezwa kuwa wajiunge ktk uasi na kupigana Jihad kwa ajili ya kuitetea dini. Ukwel ni kuwa hakuna dini pale badi siasa kupitia upenyo wa dini.

Mzee! Ktk taratibu za asili, tunategemea uanze wewe kuondoka duniani. Ninaomba uende zako kwa amani lakini tuachie Tanzania yetu isiyo na makovu ya damu kisa dini. Ulishindwa kurekebisha ukiwa kijana kwa "kula starehe" unataka kutuharibia ujana wetu kwa woga wako? Hapana hiyo haikubaliki mzee.
 
Mwenzetu huyu humu JF anayejiita mwandishi aliyetukuka Bwana Mohamed Said amekuwa akianzisha nyuzi nyingi sana humu kueleza kile anachokiita historia iliyofichwa kwa makusudi na serikali kwa kushirikiana na kanisa la Tanzania ili kufanikisha kile anachokiita Mfumo Kristo.

Akaenda mbali zaidi kwa kushirikiana na mwenzie anayeitwa Ustadhi Jamal Yassin kutunga story ya mpemba mmoja aliyetekwa na kuteswa sana na kubambikiwa kesi ya Ugaidi na jeshi la polisi kwa kushinikizwa na mabosi wa kanisa kama moja ya ajenda za "mfumo Kristo"

Leo story ile imegundulika ni ya uongo na ilipikwa na yeye mwenyewe Mohammed Said kwa kushirikiana na nduguye huyo Jamal Yassin na cha ajabu kamruka mwenzie mita 100 kwa kumuita tapeli kubwa la kimataifa.

Mohamed Said tafuta namna nyingine ya kueneza propaganda zako chafu dhidi ya Ukristo sio hii maana imepwaya .
Lakini pia acha kutunga story za kupotosha ukiwaaminisha vijana waliozaliwa miaka ya karibuni kuwa unatoa historia iliyofichwa na serikali kwa baraka za mabosi wa "Mfumo Kristo"

Uzi wenyewe huu hapa: Jamal Yassin: Nilikamatwa, nikawekwa rumande, nikateswa na nikashutumiwa gaidi
DSCN0389.JPG


Leo kakanusha hivi:

2016%2B-%2B1


Na kwa maneno yake kaandika hivi kwenye blog yake:

"Tarehe 17 February 2016 niliweka katika hii blog habari za Jamal Yassin nikieleza kuwa alikamatwa na polisi kwa tuhuma za ugaidi na akafanyiwa unyama mkubwa usioelezeka ambao ulisababisha yeye baada ya kuachiwa kutokwa na damu sehemu zake za siri mbele na nyuma. Kwa masikitiko makubwa sana napenda kusema kuwa imedhihirika kuwa hayo yote aliyoeleza na mimi kuyatangaza ni habari za uongo. Jamal Yassin imedhihirika ni tapeli mwenye kipaji cha juu cha udanganyifu. Naomba radhi kwa wote."

Unaweza kusoma vizuri kanusho lake hapa : Mohamed Said

Sasa wewe mtoto mbona unakuwa na akili ndogo namna hii?
Kama mzee Mohamed Said alipanga na huyo tapeli kuja kudanganya umma vipi Mohamed Said huyo huyo aje KUKANA Stori hii tena Mbele ya Hadhara na kuwataka Radhi wasomaji wake?

Vitu vingine wala huna haja ya kwenda shule kuvielewa.

Ingekuwa Mohamed Said katoa habari hii Kisha Akatokea mtu mwingine TOFAUTI NA YEYE akauonyesha UMMAH kuwa Habari ni ya Uongo hapo kidogo unaweza kusema Labda kweli alikuwa na dhamira ya kuuhadaa Ummah, lkn Yeye mwenyewe Kaikana habari hii na Huyo aliyekuwa akimtetea mwanzo Kamuita TAPELI MKUBWA.

Basi Na wewe umejiona Hodaaari kweli kweli Kuandika Utumbo hapa.

Halafu mara ngapi inatokea Mpaka RAIS WA NCHI anapewa Habari Ambazo SI SAHIHI na Akazitangaza Kwa Umma na Baadae Ikajulikana Habari zile SI ZA KWELI?
Sasa utamgeukia RAIS na kumuita MNAFIKI na mpotoshaji?

Ntakupa mfano hai hapa.
Wakati Alshabab wamevamia Kenya Mall (eastgate) Na kuua Raia Ovyo RAIS wa kenya Aliutangazia Ulimwengu Kuwa ktk wale ALSHABAB kuna jumla ya Magaidi 14. Na wanne ni RAIA WA Ulaya au USA. na mmoja wao ni mwanamke.

Habari hii aliletewa na professional trained officers wa Hapo Kenya na Israel.
Kumbe ukweli ni kuwa WAVAMIZI walikuwa ni Waafrika WANNE TU. Na sio 14. na Hakuna mwanamke wala Raia wa Ulaya ktk wao.

Hapa Utamuita RAIS WA KENYA mnafiki?
Tumia akili wakati unaandika we mtoto. Sio kutafuta umaarufu kwa nguvu.
Halafu cha kushangaza kuna wajinga kuliko wewe hapa. Manake baadhi yao habari hii wameipenda mpk wamekupa na like!

Pole sana Kijana. Busara ukiikosa usalama wako kaa kimya tu usije kuwahakikishia watu upumbavu ulionao.
Ahsanta.
 
Mohamed Said
Utetezi wako hauna mashiko kabisa hasa kwa mtu kaka wewe uliye mweledi ktk uandishi. Kuletwa na Sheikh anayeaminika, kuwa na barua ya Mufti, kuandikwa na gazeti hakukuondolei ufahamu wako. Kinachokuondolea ufahamu ni Uislamu wako kwani anayeeleza kutendwa na polisi wa "mfumo kristo" ni Muislamu mwenzako.

Waandishi na vitabu ulivyotaja wala sio hoja kwangu kabisa. Ukiwa mwanazuoni huru huwezi tegemea tu maandishi ya watu wengine lazima ufikiri ukiwa peke yako. Kikubwa kinachokusumbua ni Udini wa kudhani waislamu wanaonewa na kupuuzwa.

Unasema ugaidi ni hoja yenye utata; Labda kweli. Ila ninachojua na kuamini ni kuwa kuna waislamu magaidi na wengi ni kutoka madhehebu madogo ndani ya madhehebu makubwa ya Sunni. Madhehebu hayo yana majina mengi kutokana na maeneo. Tanzania yanaitwa Answar Sunna lakini Uarabuni ni Salafi au Wahabi lakini mikoa ya kusini huitwa Chimumuna. Inajulikana lengo kuu ni kusimika utawala wa Kiislamu Tanzania. Na kwa jinsi unavyotetea hoja zenye utata nahisi nawe ni mmoja wapo wa Waislamu hao. Unachojaribu kufanya ni kuwaonesha Waislamu jinsi wanavyopuuzwa na serikali ya "mfumo Kristo" hivyo kushawishika kirahisi wakielezwa kuwa wajiunge ktk uasi na kupigana Jihad kwa ajili ya kuitetea dini. Ukwel ni kuwa hakuna dini pale badi siasa kupitia upenyo wa dini.

Mzee! Ktk taratibu za asili, tunategemea uanze wewe kuondoka duniani. Ninaomba uende zako kwa amani lakini tuachie Tanzania yetu isiyo na makovu ya damu kisa dini. Ulishindwa kurekebisha ukiwa kijana kwa "kula starehe" unataka kutuharibia ujana wetu kwa woga wako? Hapana hiyo haikubaliki mzee.
Bazazi,
Umeandika mambo mengi na sina kusudio la kukujibu hayo yote ila hili moja
tu, la Waislam lakini sitokwenda kwa Waislam nje ya nchi yetu.

Unaufahamu ugomvi wa Sheikh Suleiman Takadir na Nyerere 1958?
Unaufahamu sababu ya Nyerere kuvunja Baraza la Wazee wa TANU 1963?

Unaufahamu ugomvi baina ya Kanisa Katoliki na Waislam ndani ya TANU
Kigoma 1963?

Unaufahamu ugomvi wa Tewa Said Tewa na Nyerere au ugomvi wa Bi. Titi
Mohamed
na Nyerere 1968?

Unafahamu kwa nini Nyerere alimfukuza Mufti Sheikh Hassan bin Amir
Tanzania Bara 1968?

Je, usingependa kujua historia hii?
Unadhani unaweza ukayajua haya bila kumwasoma Bergen na Sivalon?

Au unakwepa kwa kuwa unajua ukiwaleta hao ukweli utakuwa hadhir?

Unajua michango ya hao niliokutajia hapo juu katika historia ya kupigania
uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere binafsi?

Au unadhani historia hii haina maana na migongano hiyo niliokuorodheshea
hapo juu ilikuwa haina sababu?

Ikiwa Sivalon na Bergen kwako si hoja kwangu mimi ndiyo waliyonifanya
niandike kitabu na mada nyingi sana kueleza zaidi ukweli wa hali ya nchi yetu.

Kufa ni kadir.

Nitakufa kwa wakati niliopangiwa na Allah kama wewe utakavyofa kwa
wakati wako.

Huo udini unaokutisha kwa taarifa yako haukuletwa na Waislam.
Usiogope msome Bergen na Sivalon wameeleza kila kitu.

Hamza Njozi akaeleza zaidi katika kitabu chake ''Mwembechai Killings,'' (2002)
kitabu kikapigwa marufuku na serikali ya Benjamin Mkapa.

Ukitaka historia kamili soma ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968)
The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,''
(1998).

Bakia katika uzi huu nina mengi na si lazima uyakubali ila inatutosha sisi ukajua vipi
tunaitazama nchi yetu.
 
Bazazi,
Umeandika mambo mengi na sina kusudio la kukujibu hayo yote ila hili moja
tu, la Waislam lakini sitokwenda kwa Waislam nje ya nchi yetu.

Unaufahamu ugomvi wa Sheikh Suleiman Takadir na Nyerere 1958?
Unaufahamu sababu ya Nyerere kuvunja Baraza la Wazee wa TANU 1963?

Unaufahamu ugomvi baina ya Kanisa Katoliki na Waislam ndani ya TANU
Kigoma 1963?

Unaufahamu ugomvi wa Tewa Said Tewa na Nyerere au ugomvi wa Bi. Titi
Mohamed
na Nyerere 1968?

Unafahamu kwa nini Nyerere alimfukuza Mufti Sheikh Hassan bin Amir
Tanzania Bara 1968?

Je, usingependa kujua historia hii?
Unadhani unaweza ukayajua haya bila kumwasoma Bergen na Sivalon?

Au unakwepa kwa kuwa unajua ukiwaleta hao ukweli utakuwa hadhir?

Unajua michango ya hao niliokutajia hapo juu katika historia ya kupigania
uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere binafsi?

Au unadhani historia hii haina maana na migongano hiyo niliokuorodheshea
hapo juu ilikuwa haina sababu?

Ikiwa Sivalon na Bergen kwako si hoja kwangu mimi ndiyo waliyonifanya
niandike kitabu na mada nyingi sana kueleza zaidi ukweli wa hali ya nchi yetu.

Kufa ni kadir.

Nitakufa kwa wakati niliopangiwa na Allah kama wewe utakavyofa kwa
wakati wako.

Huo udini unaokutisha kwa taarifa yako haukuletwa na Waislam.
Usiogope msome Bergen na Sivalon wameeleza kila kitu.

Hamza Njozi akaeleza zaidi katika kitabu chake ''Mwembechai Killings,'' (2002)
kitabu kikapigwa marufuku na serikali ya Benjamin Mkapa.

Ukitaka historia kamili soma ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968)
The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,''
(1998).

Bakia katika uzi huu nina mengi na si lazima uyakubali ila inatutosha sisi ukajua vipi
tunaitazama nchi yetu.

Utakuja kufa mdomo wazi wewe! na haya yote utayaacha ....!!
 
Bazazi,
Umeandika mambo mengi na sina kusudio la kukujibu hayo yote ila hili moja
tu, la Waislam lakini sitokwenda kwa Waislam nje ya nchi yetu.

Unaufahamu ugomvi wa Sheikh Suleiman Takadir na Nyerere 1958?
Unaufahamu sababu ya Nyerere kuvunja Baraza la Wazee wa TANU 1963?

Unaufahamu ugomvi baina ya Kanisa Katoliki na Waislam ndani ya TANU
Kigoma 1963?

Unaufahamu ugomvi wa Tewa Said Tewa na Nyerere au ugomvi wa Bi. Titi
Mohamed
na Nyerere 1968?

Unafahamu kwa nini Nyerere alimfukuza Mufti Sheikh Hassan bin Amir
Tanzania Bara 1968?

Je, usingependa kujua historia hii?
Unadhani unaweza ukayajua haya bila kumwasoma Bergen na Sivalon?

Au unakwepa kwa kuwa unajua ukiwaleta hao ukweli utakuwa hadhir?

Unajua michango ya hao niliokutajia hapo juu katika historia ya kupigania
uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere binafsi?

Au unadhani historia hii haina maana na migongano hiyo niliokuorodheshea
hapo juu ilikuwa haina sababu?

Ikiwa Sivalon na Bergen kwako si hoja kwangu mimi ndiyo waliyonifanya
niandike kitabu na mada nyingi sana kueleza zaidi ukweli wa hali ya nchi yetu.

Kufa ni kadir.

Nitakufa kwa wakati niliopangiwa na Allah kama wewe utakavyofa kwa
wakati wako.

Huo udini unaokutisha kwa taarifa yako haukuletwa na Waislam.
Usiogope msome Bergen na Sivalon wameeleza kila kitu.

Hamza Njozi akaeleza zaidi katika kitabu chake ''Mwembechai Killings,'' (2002)
kitabu kikapigwa marufuku na serikali ya Benjamin Mkapa.

Ukitaka historia kamili soma ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968)
The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,''
(1998).

Bakia katika uzi huu nina mengi na si lazima uyakubali ila inatutosha sisi ukajua vipi
tunaitazama nchi yetu.
Mzee Mohamed Said

Wala sijatoka ktk mada bali nimetanua wigo. Kuhusu kifo nimetumia utaratibu wa asili ambapo ktk hali ya kawaida na kawaida tu! Mtu mzima huondoka kabla ya kijana. Sikuona umuhimi wa kulizungumzia hilo.

Pia naona umedhibitisha mwenyewe ktk aya ya mwisho kuwa lengo kuu ni kuuaminisha umma wa Mtume Mohamad kuwa wanaonewa na kudhalilishwa na serikali ya Tanzania ambayo ni ya Kikristo kwani inafuata Mfumo Kristo. Mzee UNAMPA PAKA JINA BAYA ILI UMUUE, nikupe hongera kwa mkakati huo.

Lakini mkakati hautakaa ufanikiwe hata kidogo.

Bazazi Nimesema; KWAHERI!
 
Mzee Mohamed Said

Wala sijatoka ktk mada bali nimetanua wigo. Kuhusu kifo nimetumia utaratibu wa asili ambapo ktk hali ya kawaida na kawaida tu! Mtu mzima huondoka kabla ya kijana. Sikuona umuhimi wa kulizungumzia hilo.

Pia naona umedhibitisha mwenyewe ktk aya ya mwisho kuwa lengo kuu ni kuuaminisha umma wa Mtume Mohamad kuwa wanaonewa na kudhalilishwa na serikali ya Tanzania ambayo ni ya Kikristo kwani inafuata Mfumo Kristo. Mzee UNAMPA PAKA JINA BAYA ILI UMUUE, nikupe hongera kwa mkakati huo.

Lakini mkakati hautakaa ufanikiwe hata kidogo.

Bazazi Nimesema; KWAHERI!
Bazazi,
Naona umelipenda hili la kifo nami pia nalipenda kwani
mtu mwerevu ni yule mwenye kukumbuka kifo.

Kifo hakifuati umri bali qadar ndiyo maana kuna mtoto
anazaliwa leo na anakufa leo.

Ndiyo maana anakufa kijana na akabaki mzee na ndiyo
maana kwa uchngu mkubwa mzazi anamzika mwanae.

Huyo ndiye Allah.
Bingwa wa upangaji.

Sijui kama umeniaga maana yake hutaki tena mjadala.

Ikiwa hutaki mjadala nifahamishe ili nisikubughudhi kwa
majibu yangu.

Huu ndiyo uungwana.

Hili swali la Mfumokristo wa kulisemea si wewe kwani Waislam
hawakumlalamikia mtu.

Waislam waliieleza serikali tatizo hili.

Wa kulisema hili ni serikali yenyewe na serikali imepiga kimya.
Haya na mambo mazito.

Paka kajipa jina baya mwenyewe.
Ndipo ninaposisitiza uwasome Bergen na Sivalon.

Hawa ndiyo waliomtoa paka katika pakacha auliwe.

Nimekuomba usome kitabu cha Abdul Sykes.

Ungechukua muda ukasoma ungepata mengi usiyoyajua na
labda ungerejea katika mjadala huu na fikra mpya.

Lakini naamini ungependa kumsoma Aboud Jumbe fikra
zake katika hili tatizo la Waislam.

Ikiwa utapenda nifahamishe In Shaallah nikuwekee maneno yake.
 
Mzizi wa Mbuyu,
Kifo hakituzuii kuishi na kufanya tuyatakayo.
Wangapi wamekufa huku wamekodoa macho?
Sheikh samahani kama ntakurudisha nyuma, je ulitambuaje kama yule kijana yasin ni tapeli
 
Shark,
Nililetewa katika mtandao gazeti hilo hapo chini:
2016%2B-%2B1
Sheikh hivi haiwezekan ikawa kuna watu wanataka ukweli wa huyo kijana upuuzwe ili waendelee kunyanyasa raia, je uliingia ndani zaidi kuona kama maneno ya huyo kijana ni urongo, dunia hadaa sana hii sheikh wangu watu wana mbinu nyingi za kunyamazisha sauti. Anyway karibu kahawa mkuu
 
Sheikh hivi haiwezekan ikawa kuna watu wanataka ukweli wa huyo kijana upuuzwe ili waendelee kunyanyasa raia, je uliingia ndani zaidi kuona kama maneno ya huyo kijana ni urongo, dunia hadaa sana hii sheikh wangu watu wana mbinu nyingi za kunyamazisha sauti. Anyway karibu kahawa mkuu
Shark,
Kinachonistaajabisha mimi ni kwa nini huyu tapeli
hadi sasa polisi hawajamkamata?
 
Halafu nasikia East Africa itavamiwa na hawa jamaa soon.
 
Sheikh hivi haiwezekan ikawa kuna watu wanataka ukweli wa huyo kijana upuuzwe ili waendelee kunyanyasa raia, je uliingia ndani zaidi kuona kama maneno ya huyo kijana ni urongo, dunia hadaa sana hii sheikh wangu watu wana mbinu nyingi za kunyamazisha sauti. Anyway karibu kahawa mkuu
Naam ungesema Gahwa ingenoga zaidi shehee.
 
Shark,
Kinachonistaajabisha mimi ni kwa nini huyu tapeli
hadi sasa polisi hawajamkamata?
Mkuu kwan we ni mgeni hapa nchini au, au umesahau ulivyowai patishwa shida na hao watwana, anyway bado najiuliza mbona kama umemhukumu bila kuingia kiundani zaidi inaezekana umepata wrong info makusudi ili ukweli wake usitambulike, au ngoja niongeze kahawa sheikh hapa kijiweni petu posta
 
Asigwa,
Sina sababu ya kuandika uongo.
Hili kwanza.

Pili sijapatapo kujiita mwandishi.
Hata nikitaka kujivika joho hilo basi litanienea.

Hiyo ulobandika haijakamilika.
Hivi punde tu nimemaliza kuhariri makala yangu.

Nimeongeza kitu muhimu.

Hii nakuwekea hapa:
Mohamed Said: ''USTADH'' JAMAL YASSIN TAPELI BINGWA
Punguza udini, uandishi unahitaji habari ibalance pande zote mbili sio kuelemea upande mmoja tu
 
Mkuu kwan we ni mgeni hapa nchini au, au umesahau ulivyowai patishwa shida na hao watwana, anyway bado najiuliza mbona kama umemhukumu bila kuingia kiundani zaidi inaezekana umepata wrong info makusudi ili ukweli wake usitambulike, au ngoja niongeze kahawa sheikh hapa kijiweni petu posta
Shark,
Soma vyema post niliyoweka.
Hiyo hukumu sijatoa mie.

Alifikishwa kwa daktari akamfanyia uchunguzi na
ndipo ilipobainika kuwa ingawa alikuwa anavaa zile
pampers lakini ukweli ni kuwa hakuwa na athari ya
kuvuja damu mbele wala nyuma.

Baada ya taarifa hii ya daktari ndipo Jamal akaomba
radhi na hiyo ndiyo ikawa mwisho wa kisa hiki.

Waislam wakapena taarifa ya tapeli huyu na hivi ndivyo
nami nikapata kujua ukweli.

Soma hii:
''Ndugu zangu hivi punde asubuhi hii nimezungumza na Sheikh Ali Mbaruk kuhusu Jamal Yassin.

Mazungumzo yetu yamechukua kiasi cha dakika 20.
Kanithibitishia kuwa Jamal ni tapeli wa kipaji cha juu sana.

Jamal si Mpemba bali ni Muha kutoka Kigoma na nduguze wamelithibitisha hilo mbele ya Imam Msikiti wa Chihota Sheikh Ali Mbaruk akiwepo.

Kufupisha...
Katika mahojiano alikimbia akaruka ukuta wa msikiti.

Alipigiwa wito wa "mwizi" akakimbizwa na kutiwa mkononi.
Alipata kipigo.

Waislam walimfikisha hospital kumtibu na kubwa walilofanya ni kuomba daktari amvue pampers ili waone kama kweli anavuja damu sehemu zake za siri.

Daktari alithibitisha kuwa hana athari yoyote.

Jamal alipelekwa hadi Mtambani na akaomba radhi.
Lakini zipo taarifa hivi sasa yuko Zanzibar anaendelea na utapeli wake.''
 
Back
Top Bottom