yale yale....Ungeomba mubadilishiwe jina muitwe jobeless chat...
Kwa niaba ya wana Chitchat wote nawaomba Moderators wote watusafishie jukwaa letu pendwa kwani limevamiwa na Mamluki....
Hapo awali kabla ya mamluki hao tulienjoy sana jukwaa hili bila BAN zisizo na msingi, lakini sasa tunaingia jukwaa hili kwa wasiwasi wa kupigwa BAN za kusababishiwa...
Nahisi lengo la jukwaa hili lilikuwa zuri tu na ndio sababu likaanzishwa, kama lingekuwa jukwaa la Kipuuzi, kitoto, n.k (kama wasemavyo mamluki hao) Bila shaka lingefulitiwa mbali...
Kwa nini tukose raha katika jukwaa hili??????? Wanaoliona jukwaa la Chitchat haliwafai kwanini wanaingia huku???? Tunawasihi sana kwa Amani na Upendo waendelee kutembelea majukwaa mengine watuwachie jukwaa letu....
Si lazima kutembelea jukwaa hili as kuna majukwaa zaidi ya 50 yenye maana kuliko hili????? Tunakosa raha ya kuwa katika jukwaa hili kwa amani kisa MAMLUKI...
Nakala kwa wana Chitchat woooote!!!!
N.B. Mods msipeleke thread hii kwenye jukwaa la malalamishi ili kila mwanaCC asome na kutoa maoni yake.
Nawasilisha
Ni kweli kuwa kuna members kwa kukusudia wanapost chuki na kero hadi wengine wanakosa subira. Mfano hai kuna thread humu watu wameporomosheana mitusi mpaka aibu.
Ahsante charminglady kwa kuliona na kulisemea hili kwani kuna membes wengine dahh!!
yani toka watu waanze kutuletea fujo wengine hata kusalimiana tunshindwa maana imekuwa ni fujo mtindo mmoja.......nakusabahi swahiba hata katikati ya hii kadhia
Ungeomba mubadilishiwe jina muitwe jobeless chat...
... Pole wana CC kwa kuvamiwa..., mkiona hivyo' elewakuwa watu wanalipenda Jukwaa lenu na kuwaonea wivu, ndiyo maana wanakuja huku kuleta fujo. Yawezekana hao wameshindwa huko kwenye majukwaa mengine, ndiyo maana wanakimbilia kwenu. Bilashaka wameelewa hawata wasumbua tena.
... Pole wana CC kwa kuvamiwa..., mkiona hivyo' elewakuwa watu wanalipenda Jukwaa lenu na kuwaonea wivu, ndiyo maana wanakuja huku kuleta fujo. Yawezekana hao wameshindwa huko kwenye majukwaa mengine, ndiyo maana wanakimbilia kwenu. Bilashaka wameelewa hawata wasumbua tena.
tatizo sio kwenye red bali nyinyi wenyewe; mnaanzisha thread hovyohovyo(ashakum si matusi);
yani kwa kifupi kila mwana chit chat anapenda kuanzisha pasipo hata na ulazima.
Heshima ya jukwaa haiwezi kamwe kuletwa kwa matusi na kejeli dhidi ya wale walio na mtazamo tofauti na mwingine anavyo fikiri!
Buchanan katuelewa na kajieleza vizuri. I hope atafanya kazi yake vizuri.
Ungeomba mubadilishiwe jina muitwe jobeless chat...
hahahahaha!! Tutaona mwaka huu me na CC miaka 900.....