EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
- Thread starter
- #41
Hahaaaa dah pole sana but hope wataalam hawakukusaidia kutunza vitu vingine kati ya ulivyovimwagavile ndo balaa,nikiviona silali hadi kitolewe nje,
hlf siku moja kikaingia kwenye handbag yangu,nikawa niko sehemu kwenye foleni ile naingiza mkono nitoe wallet ukatoka na chenyewe nimekishika,sitasahau nilivyopiga mayowe na kutupa kila kitu na kukimbia,hadi leo nikikumbuka naona aibu.