Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 90,543
- 179,270
🤣🤣🤣🤣🤣Na hii I'd ya Espy nilikua nakuona mshari shari😅😅😅😅😅
Wananichokoza wenyewe.
Ila siku hizi sitaki shida, ukijitia wazimu nakutupia ignore.
🤣🤣🤣🤣🤣Na hii I'd ya Espy nilikua nakuona mshari shari😅😅😅😅😅
Siku hizi umeokoka sana shindii😀😀🤣🤣🤣🤣🤣
Wananichokoza wenyewe.
Ila siku hizi sitaki shida, ukijitia wazimu nakutupia ignore.
Uking'atwa na nyoka inatakiwa kufanyaje ili usifeUkiwa mtu wa shamba kawaida mkuu, hasa maeneo ya matindiga kuna nyoka wakali vibaya mno, ukienda moro kilombero mashamba ya miwa , unakuta black mamba kajisokota kwenye fungu la miwa kichwa kaweka juu ya miwa anakupimia tu
TuulizeUnazingua kaka😅
Nimezeeka🤣🤣Siku hizi umeokoka sana shindii😀😀
Hapa wahenga walitelezaMwanaume unagongwa?
Inategemea ni nyoka gani na ni wapi kakugonga ila Black mamba anagonga shingo , kwa kesi nilizo kutana nazo wote walikufa baada ya mda mchache tuUking'atwa na nyoka inatakiwa kufanyaje ili usife
Sio kweli shindii bado kabichi mno 😀Nimezeeka🤣🤣
Mimi siwezi ishi huko, ila pengine ningekuwa mzaliwa wa hayo maeneo ningekuwa nimewazoea.Ukiwa mtu wa shamba kawaida mkuu, hasa maeneo ya matindiga kuna nyoka wakali vibaya mno, ukienda moro kilombero mashamba ya miwa , unakuta black mamba kajisokota kwenye fungu la miwa kichwa kaweka juu ya miwa anakupimia tu
Lazima ufe! Sumu si inaenda kichwaniInategemea ni nyoka gani na ni wapi kakugonga ila Black mamba anagonga shingo , kwa kesi nilizo kutana nazo wote walikufa baada ya mda mchache tu
tumia neno kudunga achana na neno kugongwa kuna braza anakufatilia nyuma nyuma😅Inategemea ni nyoka gani na ni wapi kakugonga ila Black mamba anagonga shingo , kwa kesi nilizo kutana nazo wote walikufa baada ya mda mchache tu
Acha kuzua taharukitumia neno kudunga achana na neno kugongwa kuna braza anakufatilia nyuma nyuma😅
Huyu ndio walikuwa wanasema ukitaka kupita ubebe sufuria la uji?? Au wahenga walishiba ubwabwa.Kwani black mamba anakaa kwenye miti? min -me
Mimi paka..Huwa na chukia sana MNYAMA PAKA.I don't like batView attachment 3586000
Sio la uji! La choroko la 7 umemaliza muda inaonekanaHuyu ndio walikuwa wanasema ukitaka kupita ubebe sufuria la uji?? Au wahenga walishiba ubwabwa.
😀😀😅tumia neno kudunga achana na neno kugongwa kuna braza anakufatilia nyuma nyuma😅