ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 17,927
- 64,174
Hujaacha ufala wakoWhat did I do to you
View attachment 3586220
Hujaacha ufala wakoWhat did I do to you
View attachment 3586220
Nyoka, hata picha yake tu sitaki kuona.
Utoto unakusumbuaBado sana!
I hate you😏
Ignore list.View attachment 3586012
Cheki dude hilo
Nyoka anachukiwa kwasababu za kiimani, wengi waliaminishwa ni mbaya.What did I do to you
View attachment 3586220
Anavyotambaa tu anatisha!Nyoka anachukiwa kwasababu za kiimani, wengi waliaminishwa ni mbaya.
Kina simba, chui wakapambwa kua ni warembo.
Reptiles nisiowapend ni comodo na mamba, wale wapuuzi wanakula chochote wakiwa na njaa, hawabagui wala hawachagui.
Nyoka wala hana shida na binadamu labda chatu ambae nae yupo maeneo machache na hana shobo na binadamu.
Nyoka hatuwajui ndio maana wengi hatuwapendi au kuwaogopa.Kuna kumpenda na kumwogopa. Mimi sipatani na nyoka.
Nyoka ni kiumbe asiependa bugdha.Anavyotambaa tu anatisha!
Bora tu adamu angebakia kuwa mseja maana huyu mwanamke anadanganyika kiurahisNashangaa kuona Wanawake wamchukia mshauri wao wa Tangu zama za kale kabisa.
Hizi Chuki mmeanza lini ?.
I once wrote Uzi humu nikielezea hivihivi. Watu wameambukizwa chuki toka kwenye vitabu vya dini. Ndo hao husema eti koboko anaweza kukimbuza pikipiki akichukia au gari which is wrong. Ukisikia story za watu humu jf kuhusu nyoka unaweza hisi vijiji vya tabora havina watu waliliwanna nyoka. Kumbe wanaishi vizuri tuNyoka anachukiwa kwasababu za kiimani, wengi waliaminishwa ni mbaya.
Kina simba, chui wakapambwa kua ni warembo.
Reptiles nisiowapend ni comodo na mamba, wale wapuuzi wanakula chochote wakiwa na njaa, hawabagui wala hawachagui.
Nyoka wala hana shida na binadamu labda chatu ambae nae yupo maeneo machache na hana shobo na binadamu.
Zamani nilikua hivyo pia, mimi sio mtu wa chuki zisizo na msingi kwa kitu chochote.I once wrote Uzi humu nikielezea hivihivi. Watu wameambukizwa chuki toka kwenye vitabu vya dini. Ndo hao husema eti koboko anaweza kukimbuza pikipiki akichukia au gari which is wrong. Ukisikia story za watu humu jf kuhusu nyoka unaweza hisi vijiji vya tabora havina watu waliliwanna nyoka. Kumbe wanaishi vizuri tu
Upo sahihiNyoka hatuwajui ndio maana wengi hatuwapendi au kuwaogopa.
Na ni kama wamewazidi maarifa binadamu ndio maana wanaogopwa, hawatabiriki kirahisi.
Zamani nilikua nahisi siwapend nyoka ila nikaja kujua nawaogopa, na baadae nilipowasoma soma nikajua sio tishio sana kwa binadam kama tukiwajua na kuwazidi maarifa.
Burlaki na jibrilI don't like batView attachment 3586000
Kibiolojia classification wanaangukia class ya wanyamaUmesema mnyama ila wengi wameweka wadudu wa Arusha