Sasa huyu ni popo au pweza anayeruka.!
Huyu mbona familia kabisa bwashee..... haka nakashika kabisa yan nacheza nako.... pia vile vinungunungu....navishika nacheza navyo...wanyama wote familia kasoro nyoka
Unanikumbusha supu ya kongoro ya nguruwe ilivyo tamu
😁Tokaaaaa!!![]()
Hahaaha sasa kwa nyoka , mimi familia , ila kinyonga hasa wale wa mgombani hapana bwashee 😀Huyu mbona familia kabisa bwashee..... haka nakashika kabisa yan nacheza nako.... pia vile vinungunungu....navishika nacheza navyo...wanyama wote familia kasoro nyoka
Hahaha ni lazima shindiiKwani lazima uweke lipicha!!!
Kwa nadra sna , ila vinakera vikikupandia kwenye mwiliAnang'ata?