Mniache kasie mie

Mniache kasie mie

JF bwana hakuishiwi na vituko, yaani madaudu wakufanyie wengine michambo akachambe JF. hahahaha, kwel dunian kuna vituko.

Kumbe kumekuchaaaa.......
Nilikua shamba nalima mie, masika hii inanifanya nipitwe na mengi.....!!
 
Kumbe kumekuchaaaa.......
Nilikua shamba nalima mie, masika hii inanifanya nipitwe na mengi.....!!

endelea kulima vikiiva tuje kuvuna, wasalimie Shinyanga............
 
ahhhh.... kile tena? Babu yangu kajaribu kukijaza cha bibi yangu kwa zaidi ya miaka 70 na kachemka.... Nani huyu anayetaka kukijaza kwa raundi tano??
hahahahahahhahaaaa Babuuu huyo babu yako noma miaka 70 na kichupa hakijajaa. Sasa huyu jamaa alkiyetaka kukijata kwa mitungo mitano looh alikuwa kijana mmoja hivi wakati niko chuo, kila nikikumbuka huwa nacheka sana.
 
Are you the genie in a bottle that's been yearning for me......?

Hhahahahahahaaa........................................

Ooooohh ooooohh ooohhh, my body say lets go,
Oooooh oooooh oooooooh but my body say nah,

If u wanna be with me, baby there's a price to pay
Am a genie in a bottle, u gat to rub me in the right way
Just come and set me free baby and I'll be with ya

Am a genie in a bottle baby you gat to rub me in a right way honey
Am a genie in a bottle baby, COME COME COME AND SET ME OUT....................(mwaah)

Waiting for you this Friday evening baby
 
hahahahahahhahaaaa Babuuu huyo babu yako noma miaka 70 na kichupa hakijajaa. Sasa huyu jamaa alkiyetaka kukijata kwa mitungo mitano looh alikuwa kijana mmoja hivi wakati niko chuo, kila nikikumbuka huwa nacheka sana.
Lakini si ulinogewa? Kama vipi hebu mjaribu tena uone mambo yake kwa sasa....
 
Hhahahahahahaaa........................................

Ooooohh ooooohh ooohhh, my body say lets go,
Oooooh oooooh oooooooh but my body say nah,

If u wanna be with me, baby there's a price to pay
Am a genie in a bottle, u gat to rub me in the right way
Just come and set me free baby and I'll be with ya

Am a genie in a bottle baby you gat to rub me in a right way honey
Am a genie in a bottle baby, COME COME COME AND SET ME OUT....................(mwaah)

Waiting for you this Friday evening baby
Wacha weee
 
Lakini si ulinogewa? Kama vipi hebu mjaribu tena uone mambo yake kwa sasa....

Hahahahaaa siku hizi hana nguvu tena kazeeka kwiha habari yake, ananguvu ya kutafuna pweza tuu kusimamisha mlingoti holaa anaishia kubariki tuu
 
Back
Top Bottom