Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
- Thread starter
- #61
Hivi kila mtu akiweka hapa masahibu anayopambana nayo mtaani patatosha kweli? Huwezi kuwazuia watu kusema au kuwaza vyovyote wanavyotaka wao!
Aliyekwamnia JF ni ndoo ya maji kuwa itajaa nani? we kama unasera mwaga huna wacha Kasie amwage yaliyomjkaa moyoni. Sina shoga wala shosti humu ndo namwaga yote yanayonitokea.