na hao watu sio auditors wala nini...
Hivi mimi na wewe kimetokea nini katikati yetu??
Apologise lady njoo ujibu hii makitu.Ya mapaja au ??
Mi hata sikuelewi mwanaume wewe, sijui ndio uzee, nakuona unagalauka tu huku na huko kwa michepuko kama hunioni, we endelea tu yakikushinda huko ndio nikuone unarudi kunibembeleza.
MO11 acha kufutilia mambo yakikubwa wew.ohoo!!!
Apologise lady njoo ujibu hii makitu.
MO11 acha kufutilia mambo yakikubwa wew.ohoo!!!
''Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate'':jf member
Yameshanishinda mpenzi, hebu njoo pande hii nikuambukize mahaba.
Basi kaa kimya wanga wasituharibie yetu mapenzi.Nakuja bebiii, mimi mwenyewe nilikukumbukajee.
Hivi ulishamuacha kumfatilia shem wangu???Au bado upo nae😀
Basi kaa kimya wanga wasituharibie yetu mapenzi.
Nakusubiria PM tupange mikakati ya chakula cha usiku. Naamini utakuwa umeniandalia pishi maridadi leo. Nna njaa ya pishi lako tamu.
alichonijibu ndio hiki eti wakati mimi nina shida ya kufahamu
Ishh!!!Hata ucwe na shaka bebii, nishafanya maandalizi ya kutosha, si wanijua kuwa sikosei bebiii.
Shem wako nishamuacha, Penzi la babu Asprin limenimaliza mie, shemeji yako Utafiti alikuwa mtoto sana kiasi nilikuwa kama namiliki serengeti boy, kwanza sikuona haja yakumuu kwa presha miss neddy
Sijawahi kukuona umekosea. Mtoto umejaaliwa mashaalah.Hata ucwe na shaka bebii, nishafanya maandalizi ya kutosha, si wanijua kuwa sikosei bebiii.