Mnazionaje huduma za Azam tv?

Mnazionaje huduma za Azam tv?

mkuu ni chanel gani hiyo, afu ni jana tu au kila mara?

ZBC, pakiwa na mechi jaribu hao, au zile channels za Zambia (Muvi channels), MBC3, MSC Int., Bukkede na channels za Kenya.
 
Hapa ndio chanzo ya kwanini tumefika hapa maana mtu akitenda jambo interesting kila mtu anasema anafaa uongozi kumbe angeachwa kulekule angeendelea kufanya makubwa zaidi kuliko kumpa uongozi

Kwa mfano Mkamia, Rwekatare, Komba, Mr. Sugu, Mch. Msigwa.... na Dr......(anataka uraisi)
 
Mbona hamna anaetoa majibu ya kueleweka au wote hatujui tutafute majibu sehemu nyingine?
 
Back
Top Bottom