Vipo kila mkoa
mkuu inaonekana wewe ni mfanyakaz au wakala wa azam tv unafanya research bado ni mapema kujua
Nimefunga Azam tv leo,n burudani sana,jamaa wamejitahidi sana kwenye Movies,music,WWE n nouma saaana
mkuu inaonekana wewe ni mfanyakaz au wakala wa azam tv unafanya research bado ni mapema kujua
Duh, mie nimegongwa 135,000/= na malipo ya kila mwezi 12,500/= bado nikagharamia usafiri wa kuja fungiwa. Ila StarTv na ITV hawana.laki na ishirini( 120000) then malipo ya kila mwezi ni sh elfu kumi na mbili na elfu mbili miatano( 12500)
Azam Tv wameboa nilitegemea wangekuwa na local channel zote but wameishia kuwa na mbili tu, easy tv ni more better local channel zipo zote
Waanze kutuwekea ligi za maana sasa kama La Liga, Bundesliga na ya Brasil.tena iyo wwe waga ni live kupitia mbc alafu wanaonyeshaga na uefa kwa taarifa yenu
Nawashangaa sana wa2 wanaolalamika Ch za Ipp na startv Azijawekwa azam tv Tatizo co kwa Azam tv tatizo Ni kwa wenyekampuni izo bwana mengi Ataki ch zake ziwemo ktk Azam tv vivyoivyo na startv sasa utamlaumu nan?
Vipo kila mkoa
Azam Tv wameboa nilitegemea wangekuwa na local channel zote but wameishia kuwa na mbili tu, easy tv ni more better local channel zipo zote
Azam Tv wameboa nilitegemea wangekuwa na local channel zote but wameishia kuwa na mbili tu, easy tv ni more better local channel zipo zote
Easy Tv wanaishia Dar tu au wapo nchi nzima.