Mnazionaje huduma za Azam tv?

Mnazionaje huduma za Azam tv?

Aya mlio kuwa mnalalamika azam tv cjui nini nini 2uulizeni cc 2navyo kura raha ma muvi kupitia Mbc channel na ma entertain

N nouma sana hasa hii Mbc 2 kwa movies n hatareee Mbc action huko naangaliaga WWE mpaka bac,DSTV na STARTIMES ngoja wapumzike uvunguni kwanza
 
Bakhresa anafaa kumrithi Kikwete uraisini!

Hapa ndio chanzo ya kwanini tumefika hapa maana mtu akitenda jambo interesting kila mtu anasema anafaa uongozi kumbe angeachwa kulekule angeendelea kufanya makubwa zaidi kuliko kumpa uongozi
 
ni mbovu, hela yangu nimepoteza bure

wewe co mzima yaan ch Kama Mbc muvi na fx,fox bado utasema azam mbovu?axee kwel binadam a2na shukran ivi ni kampuni gan itakuuzia Mbc,mtv,fox kwa 12500 permonth
 
wewe co mzima yaan ch Kama Mbc muvi na fx,fox bado utasema azam mbovu?axee kwel binadam a2na shukran ivi ni kampuni gan itakuuzia Mbc,mtv,fox kwa 12500 permonth

Kwa jinsi mnavyosifia itabidi na mimi ninunue hiki king'amuzi January.
 
Kwa jinsi mnavyosifia itabidi na mimi ninunue hiki king'amuzi January.

Hutojutia hela yako!me n'ma ving'amuzi vyote lkn azam wako juu kuna chanel kama Mbc 2&action&Max,Discovery science&investgtn,Sinema zetu,BOX TV,MTV BASE yaan n hatareee kwa sh.12,500 kwa mwezi
 
Nimempigia fundi aje afunge kesho then nitakuwa shuhuda hapa.
 
Itakuwa ulikiangalia juu juu kutoka kwa jirani.
 
Uzi umeingiliwa na maafisa masoko wa makampuni pinzani.. Kila mmoja anatetea ugali wake. Safi
 
Back
Top Bottom