Mnazionaje huduma za Azam tv?

Mnazionaje huduma za Azam tv?

Hamna kitu anazidiwa na ving'amuzi vyote, hana ITV na EAT, baba wa king'amuzi/kisimbuzi ni DSTV

Wewe ndio huna kitu. Eti unasifia dstv,sifia vya ndani ya nchi yako. Hapa unatakiwa kuzungumzia visimbuzi vya Tz ambapo utaona Azam ndio baba lao.

Lewa na chako ndugu.
 
Wewe ndio huna kitu. Eti unasifia dstv,sifia vya ndani ya nchi yako. Hapa unatakiwa kuzungumzia visimbuzi vya Tz ambapo utaona Azam ndio baba lao.

Lewa na chako ndugu.

mwambie uyoo
 
mi ndo maana naona mengi ni mbinafsi sana tofauti na anavyodai eti yeye ni mzalendo.
ona tv zake kwa kuwa zina watazamaj wengi basi amezibana na kidgtek. vng'amuz vyenyewe vpo dar tu.
shame on you mengi na unajikaanga na mafuta yako mwenyewe kwan huku mikoani tv zako watazamaj wanapungua kila kukicha kwan kila king'amuz kikija chanel zako hazpo.
hv matangozo hayakutoshi na vng'amuzi ukawaachia na wenzako wapate.
ndo maana unakosa support kwenye gesi.
tamaa mbaya mengi.
mtaka vyote hukosa vyote.
nlikuwa nakuona mzalendo ila kwa hili la visimbusi nimekuona kumbe n mlafi.
mtaji wa visimbusi tanzania nzima unakushinda, alafu unataka kitalu cha gesi.
tamaa itakufikisha pabaya.

Kwenye hili hata mimi naona uzalendo wake unapungua kwa 100%. ITV inajulikana kwa habari nyingi za Kitaifa ila amebana kwenye Visambuzi haipatikan, zaid ya Startimes ambao wamegeuka kuwa kero, chanel nyingi free wanakulipisha, halafu bei kubwaa! Mzee Mengi hembu fikiria Watanzania walio wengi, kubali channel zako( kwa terms na wenye decoder) ziwe hewani kwa visambuz vyao.
 
Wewe ndio huna kitu. Eti unasifia dstv,sifia vya ndani ya nchi yako. Hapa unatakiwa kuzungumzia visimbuzi vya Tz ambapo utaona Azam ndio baba lao.

Lewa na chako ndugu.

Hujanishawishi bado unataka kusema hata kama cha nyumbani ni kibovu niseme ni kizuri siwezi fanya hiyo, bado narudia.usipoteze muda na hiyo kisimbuzi hakina chanel za maana zaidi ya uchafu, kama unataka vya nyumbani chukua Ting utapata ITV na EAT, hii ni issue ya biashara sio ubinafsi.
 
Hujanishawishi bado unataka kusema hata kama cha nyumbani ni kibovu niseme ni kizuri siwezi fanya hiyo, bado narudia.usipoteze muda na hiyo kisimbuzi hakina chanel za maana zaidi ya uchafu, kama unataka vya nyumbani chukua Ting utapata ITV na EAT, hii ni issue ya biashara sio ubinafsi.

Hata mimi sina mpango wa kukushawishi zaidi ya kukueleza ukweli.

Sasa kwa taarifa yako kama unahitaji channels za nyumbani basi nunua EasyTv.

Hakuna king'amuzi kibovu Tz kama Ting kwa mtazamo wangu. Wanaudini sana hao jamaa.
 
Hujanishawishi bado unataka kusema hata kama cha nyumbani ni kibovu niseme ni kizuri siwezi fanya hiyo, bado narudia.usipoteze muda na hiyo kisimbuzi hakina chanel za maana zaidi ya uchafu, kama unataka vya nyumbani chukua Ting utapata ITV na EAT, hii ni issue ya biashara sio ubinafsi.

kwani umelazimishwa?
 
Pigeni porojo wengine tunakula movies kali MBC 2,MBC Max,MBC Action!!!!

Kama wewe ni mlevi wa movies AZAM TV kiboko yao!!
 
  • Thanks
Reactions: Voi
Hivi nje ya Tz kama middle east naweza kuipata hiyo azam tv? Kwa wanaofaham hili watujuze basi
 
Pigeni porojo wengine tunakula movies kali MBC 2,MBC Max,MBC Action!!!!

Kama wewe ni mlevi wa movies AZAM TV kiboko yao!!

mbona nyingine umewabania kuna Mbc1,Mbc3,Mbc4,Mbc drama Na Coming Soon wana jaziliza Mbc bollywood,fx na fox entertaiment Wanao bwabwaja Wataikubali 2 Azam tv
 
Pigeni porojo wengine tunakula movies kali MBC 2,MBC Max,MBC Action!!!!

Kama wewe ni mlevi wa movies AZAM TV kiboko yao!!

mbona nyingine umewabania kuna Mbc1,Mbc3,Mbc4,Mbc drama Na Coming Soon wana jaziliza Mbc bollywood,fx na fox entertaiment Wanao bwabwaja Wataikubali 2 Azam tv
 
mbona nyingine umewabania kuna Mbc1,Mbc3,Mbc4,Mbc drama Na Coming Soon wana jaziliza Mbc bollywood,fx na fox entertaiment Wanao bwabwaja Wataikubali 2 Azam tv

Kweli baniani mbaya kiatu chake dawa hizo MBC zote ni saudia arabia mbona hamzikatai?
 
Back
Top Bottom