GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,695
- 6,398
Mwishoni mwa mwaka jana, nilimnunulia mama yangu dishi la Azam. Hivi karibuni nimejulishwa kuwa channel zote zimekata, isipokuwa Hope TV na Azam 2. Hakuna channel zingine zo zote zaidi ya hizo, kwa hiyo hata ITV, TBC1, Star TV, n.k, hazipatikani.
Leo nimeagiza fundi aitwe, lakini alipofika, amedai kuwa hakuna channels zitakazoweza kurudi mpaka zilipiwe. Hivi sasa anasubiria nilipie ndiyo aweze kuendelea na utaratibu wa kuzirejesha channel.
Kwa wazoefu, hilo ni sahihi? Mbona nijuavyo channel za ndani huwa ni bure?
Ninemwambia fundi asubirie nifanye kwanza "mawasiliano" ndipo nimpe mwongozo.
Wakuu mnanishaurije?
Mama yupo mkoa wa mbali na ninakoishi kwa sasa.
Leo nimeagiza fundi aitwe, lakini alipofika, amedai kuwa hakuna channels zitakazoweza kurudi mpaka zilipiwe. Hivi sasa anasubiria nilipie ndiyo aweze kuendelea na utaratibu wa kuzirejesha channel.
Kwa wazoefu, hilo ni sahihi? Mbona nijuavyo channel za ndani huwa ni bure?
Ninemwambia fundi asubirie nifanye kwanza "mawasiliano" ndipo nimpe mwongozo.
Wakuu mnanishaurije?
Mama yupo mkoa wa mbali na ninakoishi kwa sasa.