Mnazionaje huduma za Azam tv?

Mnazionaje huduma za Azam tv?

Naweza kuwa shuhuda sasa! AZAM TV wapo serious, wana channel nzuri sana kwakweli.Nipo nakula movie MBC Action muda huu!!

Utitiri wa ving'amuzi sasa basi!!!!
 
Daah! Wadau azamtv imekata kwangu tangu saa sita mchana signal zinakuja zinatoka, hvi sababu yaweza kuwa ni nni wataalam? Au ni hali ya hewa? Kwamaana asubuh nimeangalia vzuri, mvua ilipoanza tu ikakata, je kwenu vp mvua ikinyesha huwa inakata mawasiliano?
 
Azam tv wapo vizuri ,wanachotakiwa kufanya ni kuwa na channel moja ya kwao itakayokuwa inashughulika na matukio km taarifa za habari na vipindi vya kawaida ili wazibe nafasi ya itv na startv
 
Azam tv wapo vizuri ,wanachotakiwa kufanya ni kuwa na channel moja ya kwao itakayokuwa inashughulika na matukio km taarifa za habari na vipindi vya kawaida ili wazibe nafasi ya itv na startv

Huko wanaweza wasiende kwa kuogppa kutumiwa kisiasa.
 
Hivi visimbuzi vya ting vinauzwa bei gani na malipo kwa mwezi sh ngapi

kinauzwa tsh.85000/= na kwa mwaka huu toka july walitoa offer ya malipo ya mwezi ilikuwa bure.ila kuazia january nadhani wataendelea kutoza ile elfu kumi ya awali
 
Hawa jamaa wako kimya sana,nasikia kuna chanel za uarabuni{MBC1,2,3,4,max,drama&action} wameongeza zitaonesha movies na WWE, TNA..Lakini nilitaka uthibitisho kabla cjanunua kisimbuzi chao

ila hawa jamaa hawana itv,mm nilinunua tar 13 nikawekewa ungo wao mdogo hivi ila baada ya cku mbili picha zikakata kabisa,niliwapigia cm had leo hawajaja,mie niko moshi
 
ila hawa jamaa hawana itv,mm nilinunua tar 13 nikawekewa ungo wao mdogo hivi ila baada ya cku mbili picha zikakata kabisa,niliwapigia cm had leo hawajaja,mie niko moshi

Mkuu kurekebisha dish n kazi ndogo sana sio lazma umlete fundi,kama vp lirekebishe ww fasta...
 
Vip kuhusu "Star TV na ITV"! Hazipo ndani ya hicho kingamuzi cha Azam??
Ndio jambo la kushangaza hilo. Serikali ilisema Tv zote za bure za nchi hii lazima ziwe kwenye ving'amuzi, ilikuwa amri na sio hiyari.
 
Azam tv wapo vizuri ,wanachotakiwa kufanya ni kuwa na channel moja ya kwao itakayokuwa inashughulika na matukio km taarifa za habari na vipindi vya kawaida ili wazibe nafasi ya itv na startv
Sinema zimezidi.
 
Daah! Wadau azamtv imekata kwangu tangu saa sita mchana signal zinakuja zinatoka, hvi sababu yaweza kuwa ni nni wataalam? Au ni hali ya hewa? Kwamaana asubuh nimeangalia vzuri, mvua ilipoanza tu ikakata, je kwenu vp mvua ikinyesha huwa inakata mawasiliano?

Ckuzote mvua ikinyesha atakama una 2mia dstv au zuku au dish lolote la ku lazima signal ipungue
 
Kwanini Local TV zisiwemo zote? Tutakuwa na decoder ngapi ndani? Inanikera sana hii.

Body without head
Nasikia ITV na StarTV wamekataa kuweka channel zao kwa AZAM TV, na hii ni kwa sababu wao wana vingamuzi vyao pia, ila ukiangalia kibiashara wao ndio wanazidi kurudi nyuma kwani wanazuia coverage yao kuwa kubwa, kwa sababu pia vingamuzi vinaishia hapa Dar tu.

Nimeona kwa sasa Channel10, TBC1 na STAR Tv wapo DSTV, je ITV hawaoni wenzao wavyokuza mtandao wao wa kuonekana. Na kwa maoni yangu hapo badae ni kampuni zinazotumia teknolojia ya Satelite tu(DSTV, AZAMTV NA ZUKU) ndio watakafanikiwa na hii biashara wengine wasubiri vifo. Wanashindana hapa Dar tu.
 
hivi visimbuzi vya ting vinauzwa bei gani na malipo kwa mwezi sh ngapi

kwa mwezi huu kuna promosheni kwa sh.95,000 na 195,000 kwa dish na receiver yake.
Malipo(januari) ni kuanzia 8000 kutegemea idadi ya chaneli
 
Hamna kitu anazidiwa na ving'amuzi vyote, hana ITV na EAT, baba wa king'amuzi/kisimbuzi ni DSTV
 
Back
Top Bottom