EARPHONE
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 355
- 66
- Thread starter
- #21
Mkuu, mbona list ipo humu jukwaani na kuna channel moja tu ya kiarabu! kama vip Angalia hapa
waliongeza chanel zingine,angalia picha za siku ya uzinduzi tar 6 dec
Mkuu, mbona list ipo humu jukwaani na kuna channel moja tu ya kiarabu! kama vip Angalia hapa
Wanaviuza kila kimoja bei gani?
unaweza kutuambia baadhi ya chaneli mkuu?
Hawa jamaa wako kimya sana,nasikia kuna chanel za uarabuni{MBC1,2,3,4,max,drama&action} wameongeza zitaonesha movies na WWE, TNA..Lakini nilitaka uthibitisho kabla cjanunua kisimbuzi chao
Aaah tunaziona kwa macho.Kwa wale mlio nunua visimbuzi vya Azam tv,vp huduma zao kwa ubora wa picha,sauti na chanel zilizomo
Kizuri hujiuza kibaya hujitembeza. Azam Tv bado mtoto anatambaa kwenye TVs. Ona Star TV ilivyopayushwa na BBC Dira ya Dunia?
Kila nikiwa Sinza watu wanahaha kuwahi kipidi hiki saa 3 usiku kwenye mabaa FUTUHI lake liko juu na linavuta matangazo ya baishara. Good Strategy!
Hiki king'amuzi cha azam tv kinakamata mikoa yote au hadi DSM tu wadau???.