Mnara wa Babeli na historia ya kutisha

Mnara wa Babeli na historia ya kutisha

Hizo roho ndo Nasikia ulikuwa mwanzo wa freemasonry duniani
 
Ila mimi bado najiuliza huko mbinguni ni wapi ki location yaani? Ni huko tunapotazama jua ama? Au ni nje ya ulimwenguu huu labda..
Maana Yesu Kristo alipokua akipaa kwenda mbinguni alipaa kwenda juu uelekeo wa jua kwa mujibu wa maandiko. Lakini zama hizi sayansi imeweza kutoka nje ya dunia na kuona umbali wa ma bilion ya km mbele, sasa hio mishale ya nimrodi ilirushwa kwa style ya namna gani mpaka kufika huko aliko Mungu?
Sambamba na hilo ikiwa wana sayansi wameweza kuona umbali ambao ukitaka kwenda itakuchukua miaka bilion kufika tena kwa speed ya mwanga, na mpaka hapo mbingu hawajaiona huenda iko mbele zaidi. Sasa Yesu aliepaa tuchukue alikua na speed ya mwanga mara 1000 huenda mpaka leo hajafika bado, zingatia mwanga husafiri km 300000 kwa sekunde?
Kama unakubali mchawi anapaa hadi Nigeria kwa dk3, Haya mambo ni kiroho ukitumia mwili utaumia bure
 
Kwani Mungu anaishi wapi? (Geographical Location). Je wangetakiwa kupanda huu mile ngapi? Hali ya hewa (baridi, upepo, hewa ya kuvuta vingewatosha? Je huko juu kwa kuzingatia nguvu ya mvutano wa vitu (Gravitation, G) na nguvu ya kuvutwa duniani (gravity, g) ukuta ungejengeka? Maana kuna mahali ambapo vitu vinagoma kushikana. Dunia IPO kwenye universe hii yenye sayari kadhaa, kama Mungu yupo universe zingine huko? na je, kama Mungu hana makazi ya kuonekana physically.

Binafsi nafikiri hata wangeachwa wasingeweza kukifikia kiti cha enzi cha Mungu.
Makazi ya Mungu ni Mbinguni jiografia yake ni juu yote juu sana. Huko juu hakuna kitu kinaitwa Gravitation force hizi ni scientific fiction tu, dunia ndio sakafu ya anga na anga ni paa la dunia, dunia sio sayani ni dunia na wala sio duara(hai make sense) ni tambarare, na huko kwenye paa lake ambalo mnaliita universe hakuna kitu kinaitwa sayari ni scientific fiction pia, huko kuna hewa, jua linalotembea, mwezi unaotembea na nyota zote zinazotembea.
Kwani Mungu anaishi wapi? (Geographical Location). Je wangetakiwa kupanda huu mile ngapi? Hali ya hewa (baridi, upepo, hewa ya kuvuta vingewatosha? Je huko juu kwa kuzingatia nguvu ya mvutano wa vitu (Gravitation, G) na nguvu ya kuvutwa duniani (gravity, g) ukuta ungejengeka? Maana kuna mahali ambapo vitu vinagoma kushikana. Dunia IPO kwenye universe hii yenye sayari kadhaa, kama Mungu yupo universe zingine huko? na je, kama Mungu hana makazi ya kuonekana physically.

Binafsi nafikiri hata wangeachwa wasingeweza kukifikia kiti cha enzi cha Mungu.
 
hiyo mishale itakua kweli ya kiroho,we mshale upite kuanzia dunia mpaka Jupiter huko na kuendelea siyo mchezo hiyo nguvu iliyotumika
Mkuu hamna kitu kinaitwa jupiter cha kiuhalisi ni fiction za kisayansi tu, na jupiter ni muungu wa roma tu mkuu!
 
Ila mimi bado najiuliza huko mbinguni ni wapi ki location yaani? Ni huko tunapotazama jua ama? Au ni nje ya ulimwenguu huu labda..
Maana Yesu Kristo alipokua akipaa kwenda mbinguni alipaa kwenda juu uelekeo wa jua kwa mujibu wa maandiko. Lakini zama hizi sayansi imeweza kutoka nje ya dunia na kuona umbali wa ma bilion ya km mbele, sasa hio mishale ya nimrodi ilirushwa kwa style ya namna gani mpaka kufika huko aliko Mungu?
Sambamba na hilo ikiwa wana sayansi wameweza kuona umbali ambao ukitaka kwenda itakuchukua miaka bilion kufika tena kwa speed ya mwanga, na mpaka hapo mbingu hawajaiona huenda iko mbele zaidi. Sasa Yesu aliepaa tuchukue alikua na speed ya mwanga mara 1000 huenda mpaka leo hajafika bado, zingatia mwanga husafiri km 300000 kwa sekunde?
Bahati mbaya hata sisi huwa tunawaamini sana wanasayansi ila hawa sometimes ni waongo kupindukia mfano walijaribu lini huo umbali kuona unatumia miaka bilioni kadhaa!!
Scientific fiction zinazovutia macho na masikio kama kawa.
 
Namba 1 nimekubaliana nawe mkuu kwamba ni kiroho zaidi ndio maana baadhi ya vitu walivyokua walifanya walifika mbali zaidi.

Hii namba 2 nina mashaka kidogo labda ni vile ulivyosema mbingu ipo kiroho zaidi, maana kwa mujibu wa wanasayansi nje ya galaxy yetu yaani milkway si mbali sana pia kuna galaxy ilio karibu na yakwetu tena zinakaribia kuungana inaitwa madhani andromeda, kama kuna sehemu mbingu ipo si ingeonekana hata kivuli chake.

Lakini pia mbingu yalipo makao makuu ya Mungu alieumba ulimwengu ambao una galaxy nyingi sana milk way ni kama kipunje kidogo cha mchanga kwenye bahari kweli mbingu iwe karibu hivyo mkuu?
Au labda tunaweza kusema dodoma ni ndogo sana hapa tanzania lakini ndio makao makuu labda iwe hovyo.

Lakini mimi naona swala la mbingu ilopo ki location bado ni tata sana maana hapa tunapoangalia juu ya utosi wetu bado sidhani kama ni location ya mbingu ni dhana tuu tumekua nayo. Maana dunia inavuta vitu vyote chini na sayari nyingine inavuta kinyume hapo mbingu kuijua ilipo bado ni kitendawili kikuu
Labda nikubaliane na wewe kwa majibu yako yaliofuata kwa kuhitimisha mbingi iko kiroho zaidi, shukrani mkuu kwa jibu safi lenye kuleta challenge ya akili.
Mbingu ipo juu juu sana tu mkuu, issue za gallax ni fiction za kisayansi tu, dunia ni sakafu na anga ndio paa la dunia, wanasayansi wana porojo nyingi sana za kuvutia lakini habari nzima za how the universe works kitabu cha ENOCH kimeeleza vizuri zaidi ya uongo wa kisayansi.
 
Wakuu, mimi nilijua gharika iliangamiza watu wote duniani isipokua Nuhu na wenzie waliokua kwenye safina.

Sasa huyu Nimrod na wenzake walitokea wapi?

Pia mleta mada anasema Nimrod na wenzie walitaka kujenga mnara mrefu ili wajifanyie jina kwa majirani zao.

Hao majirani zao nao walitoka wapi?

Je, ni kweli kwamba gharika haikuangamiza dunia nzima?
Some hiki KITABU mkuu.Kina maelezo ya kina kuhusu ulichouliza tangu mwanzo wa uumbaji Hadi kwa huyo Nimrodi na HAYO mataifa mengine.View attachment jasher.html.pdf
 
Kuna wakati biblia inaacha maswali mengi kuliko majibu. Ukiwa mtu wa facts lazima utaona kuna tatizo mahala!

Anyway, tusubiri majibu mkuu!
Kuna vitabu vingine nje ya BIBLIA ambavyo vinaelezea matukio ya BIBLIA lakini kwa kina zaidi.
Ukipata mda Soma hiki KITABU hapa chini.Nafikiri iitakuongezea uelewa mkubwa wa Nini kilitokea wakati wa Nuhu mpaka vizazi vyote akiwemo Nimrodi na Huo mnara wa babeli.Abrahamu alizaliwaje,baba yake ni nani,Watu walitawanyikaje kutengeneza mataifa na Mambo mengi kuhusu Ibrahimu na vizazi vyake. Ukichanganya knowledge ya matukio ya BIBLIA na hiki kitabu utapata uelewa mkubwa.
View attachment jasher.html.pdf
 
Nimrod alikuwa mtoto wa cush na mjukuu wa Nuhu hivyo nimrod alitoka kwenye familia ya Nuhu

Kingine Nimrod alienda kuishi huko sumeria kumbuka Nuhu alikuwa na watoto watatu na wajukuu zaidi ya 30 hivyo anaposema MIJI mingine ilimaanisha mji ambao waliishi wajukuu wengine ma Nuhu tofauti na sumeria alipoishi Nimrod

Mfano mizraim aliishi misri, Canaan aliishi mto jordan n.k so mnara ulijengwa kuwaringishia hao ingawa wote ni familia ya Nuhu

Nafkiri ntakuwa nmekujibu vzuri kiasi kwa niaba ya mtoa mada
Uko vizuri mkuu.Hivyo ndivyo na Mimi nilivyokuwa naelewa.
I like it.
 
Ahsante kwa darasa lako mkuu wangu Maalim Hammaz hivi hii encounter ndio ile inayoishia kwa Nimrod kuuawa na wadudu??? Maana kuna hadeeth moja nlisoma nafkiri ya Tabari ile.... Anaeleza kwamba baada ya Namruth kukutana na Abraham alimwambia kwamba ana nguvu na majeshi yenye uwezo kupigana na Allah then kama sikosei Abraham akamwambia Allah atakumaliza kwa silaha ndogo kabisa ambayo hukutegemea ndio hapo wakatoa nzige/nyuki ama wadudu wa kufanana wakamuingia Namruth Ibn Canaan puani mdomoni na masikioni wakapenya hadi kwenye viungo vya ndani na kummaliza uhai wake!!

Sijui ndio kisa hiki hiki kimoja au hii nayo tofauti
Hebu pitieni na hii wakuu (ZITTO JUNIOR NA HAMMAZ) kuhusu kifo Cha Nimrodi.Nimetumia kitabu Cha Jasher Kama source maana kinaendana na matukio ya Agano la kale kwa Kiasi kikubwa.Ndugu HAMMAZ yeye kaeleza kulingana na sources za kiislam Kama sijakosea(hapa Sina la kuongeza Wala kupunguza maana Sina uelewa Napo Sana kuhusu hicho kisa).Nimrod wa hiki kitabu cha Jasher ni yule wa mwanzo kabisa ambaye kwenye BIBLIA anazungumzwa kwa kifupi.
Mnaweza mkapata kitu ambacho kitaongeza maarifa zaidi.


CHAPTER 27
1 And Esau at that time, after the death of Abraham, frequently went in the
field to hunt.
2 And Nimrod king of Babel, the same was Amraphel, also frequently went
with his mighty men to hunt in the field, and to walk about with his men in
the cool of the day.
3 And Nimrod was observing Esau all the days, for a jealousy was formed
in the heart of Nimrod against Esau all the days.
4 And on a certain day Esau went in the field to hunt, and he found Nimrod
walking in the wilderness with his two men.
5 And all his mighty men and his people were with him in the wilderness,
but they removed at a distance from him, and they went from him in
different directions to hunt, and Esau concealed himself for Nimrod, and
he lurked for him in the wilderness.
6 And Nimrod and his men that were with him did not know him, and
Nimrod and his men frequently walked about in the field at the cool of the
day, and to know where his men were hunting in the field.
7 And Nimrod and two of his men that were with him came to the place
where they were, when Esau started suddenly from his lurking place, and
drew his sword, and hastened and ran to Nimrod and cut off his head.
8 And Esau fought a desperate fight with the two men that were with
Nimrod, and when they called out to him, Esau turned to them and smote
them to death with his sword.
9 And all the mighty men of Nimrod, who had left him to go to the
wilderness, heard the cry at a distance, and they knew the voices of those
two men, and they ran to know the cause of it, when they found their king
and the two men that were with him lying dead in the wilderness.
10 And when Esau saw the mighty men of Nimrod coming at a distance,
he fled, and thereby escaped; and Esau took the valuable garments of
Nimrod, which Nimrod's father had bequeathed to Nimrod, and with which
Nimrod prevailed over the whole land, and he ran and concealed them in
his house.
11 And Esau took those garments and ran into the city on account of
Nimrod's men, and he came unto his father's house wearied and
exhausted from fight, and he was ready to die through grief when he
approached his brother Jacob and sat before him.
12 And he said unto his brother Jacob, Behold I shall die this day, and
wherefore then do I want the birthright? And Jacob acted wisely with Esau
in this matter, and Esau sold his birthright to Jacob, for it was so brought
about by the Lord.
13 And Esau's portion in the cave of the field of Machpelah, which
Abraham had bought from the children of Heth for the possession of a
burial ground, Esau also sold to Jacob, and Jacob bought all this from his
brother Esau for value given
14 And Jacob wrote the whole of this in a book, and he testified the same
with witnesses, and he sealed it, and the book remained in the hands of
Jacob.
15 And when Nimrod the son of Cush died, his men lifted him up and
brought him in consternation, and buried him in his city, and all the days
that Nimrod lived were two hundred and fifteen years and he died.
16 And the days that Nimrod reigned upon the people of the land were one
hundred and eighty-five years; and Nimrod died by the sword of Esau in
shame and contempt, and the seed of Abraham caused his death as he
had seen in his dream.
17 And at the death of Nimrod his kingdom became divided into many
divisions, and all those parts that Nimrod reigned over were restored to the
respective kings of the land, who recovered them after the death of
Nimrod, and all the people of the house of Nimrod were for a long time
enslaved to all the other kings of the land.
 
Dah walikuwa na akili mkubwa we jiulize hata majengo yao yamedumu zaidi ya miaka 10,000 si mchezo kabisa au angalia hata pyramids zile zimejengwa kwa sayansi kubwa sana ambayo kwa miaka ile hakuna machine kma za sasa unajiuliza waliwezaje !!!! Walikuwa na akili kubwa pia kuishi miaka mingi kuliwasaidia sababu wanafanya utafiti na wanasayansi wanacombine akili kwa muda mrefu yaani mfano Newton na enstein na hawakings wangeishi miaka 1000 unategemea nini hapo?? Lazma wangegundua mambo mazito zaidi

Kuhusu CERN wenyewe wanadai wanatumia sayansi kufanikisha hayo ila hawa kina nimrod uchawi wa voodooo ulihusika kidogo maana Mungu ni Roho hivyo kma unataka upambane naye lazima uwe kiroho sio kimwili kma hao CERN
Kitendo cha wao kutokuwa na mashine, kinaonyesha zaidi jinsi ambavyo hawakuwa na akili kama kizazi cha leo.
Maisha na upeo wa kufikili wa mwanandamu unaletwa na changamoto za kimazingira, Jamii ya leo ina akili nyingi sababu mazingira yamewatengeneza hivyo.
Zamani walikuwa na hali ya unyama unyama
 
Kitendo cha wao kutokuwa na mashine, kinaonyesha zaidi jinsi ambavyo hawakuwa na akili kama kizazi cha leo.
Maisha na upeo wa kufikili wa mwanandamu unaletwa na changamoto za kimazingira, Jamii ya leo ina akili nyingi sababu mazingira yamewatengeneza hivyo.
Zamani walikuwa na hali ya unyama unyama
Hawakuwa na mashine lakini walijenga Yale mapiramidi hapo ndo ujiulize ni Akili gani walikuwa wanazitumia??? Sio hawakuwa na akili ila walikuwa na akili za ziadaa na uwezo mkubwa...
 
Sema Bangi hizi, nilikuwaje kuwaje nikawa naamini hizi story? Serious mnasoma story eti Mungu alipigwa mishare
Mkuu hakuna mahala nimesema Mungu alipigwa mishale ila ni kwamba geti lilifunguka walirusha mishale that's all..... Alafu mkuu kwanini mkipewa simulizi za culture zingine mnaona wazimu ila ingeandikwa na Bible au Quran usingesema ni wazimu mfano Bible inaandika Mungu alipigana usiku usiku na Yakobo na Yakobo alishinda sasa kwanini hushangai mwanadamu kumrushia makonde mungu na kumpiga knock out ila unashangaa mtu kurusha mishale!!

Tuache double standards
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom